Live From Mafao House: Mkutano wa Jukwaa la Wahariri -TEF na Mfuko wa Pensheni NSSF- NSSF Yatisha!, Una Thamani ya Trilioni 8.5 Ndani ya Muda Mfupi!.

Waeleweshe umuhimu wa makusanyo ya wanachama kuzaa faida na sio kusifiwa tu!!
 
Balile ameipongeza NSSF kwa maboresho mbalimbali ya mafao na mifumo, sasa huna haja kwenda NSSF, bali unatumiwa taarifa za michango yako kwenye simu yako.
P
 
Waulize hao nsssf kwa nini wasiachane na utaratibu wa kuwasumbua wastaafu kuwajazisha mafomu wakiwa wameshastaafu na hawapo kazini wakati details zote za hao wafanyakazi wanazo au kwa nini wasizihakiki mtu akiwa kabakiza miaka miwili au mmoja kabla ya kustaafu na siku anastaafu au mwezi mmoja kabla hajastaafu mafao yake yawe tayari.!?
 
Ukiwa private company na ukawa nssf..ukahama na kuhamia government...gov wanatumia psssf..
Kwanin zile pesa za nssf zisihamishiwe psssf badala yake unaambiwa usubiri ustaafu ndio upewe?
Waulize
Hii nayo ni dhuluma kama dhuluma nyingine alafu anakwambia mfuko umenona.
 
Mada ni NSSF kukutana na TEF, huko kutisha ni observation yangu, na sio tuu kutisha kwa hizo trilioni 8.5, bali pia actuarial valuation ya mfuko wa NSSF, unaonyesha sustainability ya over 90%!, hili sio jambo la kawaida na sio mchezo!.
P
Waulizeni
1. hivi kikokotoo kimefanya mfuko utune kwa kiasi gani?
2. Mzee wa miaka 60 akifa baada ya miaka 5 na alibakisha milioni 100 kwenye kiinua mgongo chake zinaendaga wapi?
 
8,500,000,000,000.00 Tanzanian Shillings =

3,125,067,876.97 US Dollars

1 TZS = 0.000367655 USD
1 USD = 2,719.94 TZS
 
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mchomba, alieleza mengi ya muhimu sana kuhusu NSSF.
P
 
Baada ya Maelezo ya DG Mshomba, kulifuatia presentation kuhusu NSSF.
P
 
Zikafuatia testimonials za waandishi wa habari wastaafu wa NSSF, Flora Wingia wa The Guardian Ltd na Bakari Machumu wa Mwananchi walitoa ushuhuda jinsi NSSF inavyo wa take care baada ya kustaafu.
P
 
Kisha NSSF ikatoa tuzo kwa waandishi 7 wastaafu wa NSSF, wakiongozwa na Flora Wingia, Bakari Machumu, Jese Kwayu, Theophyll Makunga, Absolom Kibanda, na Beatrice Bandawe.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…