Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Huu ni mwanzo mzuri kabisa. Matumaini ya ushindi yanazidi kuongezeka.
 
Nataka kulia kwa furaha, shemejio kaniletea kahawa hapa ya jioni, imepoa hata sijainywa!!! raaaaahaa kweli kweli, ina maana pale alipopita mchana kwenye foleni ubungo ndo ilikua mara yake ya mwisho???
 
Masanduku ya Kura yakamatwa!


 
Matokeo yameanza kutangazwa, naangalia chanel ten bado sijaipata uzuri
 
Superman, haya matokeo ninayoyaona?? nataka nichukue kalamu na daftari nianze kunakili

hayo ni matokeo ambayo mdau anadai ni ya awali toka Mwanza.

Hebu yafanyie analysis kuyajumlisha na kuona totals ziko vipi, kisha weka % tuone Synovet, Redet au TCIB nani anakaribia.
 
Habari zinasema kwamba katika Kata ya Saranga hakuna form namba 21B ya matokeo ya Ubunge. Hii ni katika jimbo la Ubungo.
 
Kumbe tunatakiwe tuseme nini tena? si ndio hivyo CCM anavutwa na CHADEMA??? AU hujaelewa mpwa?
 
Mbona matokeo hamsemi tena? Semeni kama yanavyoonekana hapo!


Mkuu usiwe na wasiwasi tuko kwa ajili yako.

Matokeo rasmi hayajaanza, hayo ni kwa mjibu wa SMS na internal networks.

TV hazijaanza kutangaza bado.

Sijui Channel 10 maana kwangu inafreeze.
 
Mkuu usiwe na wasiwasi tuko kwa ajili yako.

Matokeo rasmi hayajaanza, hayo ni kwa mjibu wa SMS na internal networks.

TV hazijaanza kutangaza bado.

Sijui Channel 10 maana kwangu inafreeze.

Yanarushwa kwa pause. Nitajumlisha soon kuwapa hapa hapa. Sasa hivi
 
Matokeo ya Uraisi Zanzibar:


1) Kituo Cha Bwawani

Maalaim seif Shariff CUF 593

Dr Shein CCM 141
 
Maswa kuna mdau amebambwa na karatasi halali la kupigia kura akizitumbukiza nyingi baada ya kupewa na msimamizi. Na alipobanwa alisema kuwa walifundishwa.

Mambo hayo

Source: ITV
 
Hata hivyo wananchi wanalalamika kwa nini police hawajaawakamata wahusika wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…