Elections 2010 Live From TV's: Upigaji wa kura, matokeo na yatokanayo

Mkuu, hawa MODS zijui vipi leo.

Nimejaribu kuwasiliana na moja lakini naona bado hawajaziunganisha.

Kumekuwa na dublicate ya threads nyingi sana . . . .

Naanza kuchoka Mkuu.

lakini tujitahidi tu . . . .


Pole sana mkuu. Hata mimi nakuonea huruma. Kazi hii nzuri uliyoifanya sasa imeharibika kabisa. Hivi kwa nini watu badala ya kuweka matokeo hapa wanakimbilia kuanzisha thread mpya? Hata wale tunaofuatilia tunakosa mwelekeo.

Hope Mods watalishughulikia hili haraka sana. Yaani sijui hali itakuwaje hadi kufikia kesho asubuhi!
 
Jamani, hawa chanel ten mbona siwaelewi, naona kama vile haya matokeo haya yana namna, kwani baadhi ya maeneo yameripotiwa tofauti, ngoja nitafute hao wengine wamesemaje ili niattach hapa
 
Hiyo hapo juu inaonekana imechakachuliwa tayari...................madiwani wapate nyingi lakini urais na ubunge pungufu....somethin ain't right!

Mkuu hata mimi nakubaliana na wewe something is wrong yani kura za udiwani nyingi namna hiyo halafu za urais na ubunge washinde dih ngoja tuone
 
Meya Manispaa ya Arusha:

 
The best thing ni kwamba, tukiwaacha tunawaacha kabsaa, so wakija jumlisha lazima kitaeleweka tu!!! MORE UPDATES PLS
 
Kutoka Arusha.....


 
Hii ni kutoka Mwanza, but confirmation will be highly desirable.

 
Mkuu, hawa MODS zijui vipi leo.

Nimejaribu kuwasiliana na moja lakini naona bado hawajaziunganisha.

Kumekuwa na dublicate ya threads nyingi sana . . . .

Naanza kuchoka Mkuu.

lakini tujitahidi tu . . . .

Mkubwa Maxence kasema yupo analifanyia kazi! Pamoja sana
 
Ruvuma:

 
Bukoba Vijijini:

Bukoba vijijini
Kituo Nkindo

Chadema 188
CCM 144
CUF 1

Udiwani
Chadema 169
CCM 68
 
Mkubwa Maxence kasema yupo analifanyia kazi! Pamoja sana

Mkuu,

Hii hali inakera sana. Yaani matokeo yanatupwa tupwa hovyo. Nakumbuka kwamba niliomba toka mwezi wa 8 kwamba tuwe na sehemu moja watu wamwage matokeo hapo. Sasa hivi hali inakatisha taamaa kutoa updates and kufuatilia. But Sperman has done wonders. Keep it up mkuu. We will lend a supporting hand from now on...
 
SUA Morogoro!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…