Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Za asbh superman, Ndo nimeamka mdau, nipe ripoti mpwa
Kamanda na mimi ndo naamka sasa hivi nilekuta wadau nanachapa kazi bila hiana.
Hakika Tanzania itajengwa na wenye moyo na wapo wengi tu.
Kiranga anatuhabarisha:
Mbezi Beach
Tangi Bovu - Urais
CCM 60,
CHADEMA 108,
CUF 4
Soko Jipya /Mbezi Beach Urais
Kituo namba 1
CCM 51,
CHADEMA 115,
Kituo namba 2:
CCM 63,
CHADEMA 100,
Kamanda na mimi ndo naamka sasa hivi nilekuta wadau nanachapa kazi bila hiana.
Hakika Tanzania itajengwa na wenye moyo na wapo wengi tu.
Kiranga anatuhabarisha:
Mbezi Beach
Tangi Bovu - Urais
CCM 60,
CHADEMA 108,
CUF 4
Soko Jipya /Mbezi Beach Urais
Kituo namba 1
CCM 51,
CHADEMA 115,
Kituo namba 2:
CCM 63,
CHADEMA 100,
Jamani huwezi amini Michuzi blog imedoda....no updates.
Hongera JF kwa kazi ngumu ya kuhabarisha watanzania.
[COLOR=red said:Superman[/COLOR];1199264]Kamanda na mimi ndo naamka sasa hivi nilekuta wadau nanachapa kazi bila hiana.
Hakika Tanzania itajengwa na wenye moyo na wapo wengi tu.
Kiranga anatuhabarisha:
Mbezi Beach
Tangi Bovu - Urais
CCM 60,
CHADEMA 108,
CUF 4
Soko Jipya /Mbezi Beach Urais
Kituo namba 1
CCM 51,
CHADEMA 115,
Kituo namba 2:
CCM 63,
CHADEMA 100,
Za asbh superman, Ndo nimeamka mdau, nipe ripoti mpwa
Superman, endeleza mambo hapa.....nahisi macho yangu kusalimu amri. Shift ni muhimu mkuu, nasalimu amri kwa muda lakini nitarudi hapa mapema kuendeleza libeneke hadi kieleweke.
Wakuu, nasalimu amri, ngoja nikapumzike wazee hope nitarudi later on.
Superman, Elli, Dark City, Indume Yene kazi njema wajeshi wangu. All the best, mimi macho yamegoma, key pad naziona kwa shida full usingizi waungwana.