Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Zanzibar vipi tena huko? nilijua cuf wanachukua urais naona kw ahesabu zenu hapo sijui kama watafanikiwa au bado ?
Hapana mkuu,
Ukijumlisha hizo kura, utaona kuwa CUF wamepata tayari zaidi ya 30% hapo Unguja. Kwa kuwa kule Pemba haiwezi kupata hata 20% ndo maana tayari CCM imeshalizwa...