Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Atretico Madrid wametembea kwa miguu kuelekea katika Dimba la Estadio Santiago Bernabeu ambapo ndipo nyumbani kwa mabingwa watetezi wa UCL na pia ndio wenye rekodi ya kubeba ndoo hii mara kumi wakifuatiwa na AC MILAN hapa nawazungumzia Los Blancos Real Madrid Musica International...
Madrid wakiwa na kocha boora mwenye mafanikio akiwa mchezaji na pia kama Kocha Mr European Nightmare big Caro Ancelotti watakuwa na kazi ya kukabili kikosi cha Atretico kinachonolewa na mcharuko Diego Simeone.
game ya kwanza iliisha kwa pacha tasa...
hivyo kwa namna yeyote ile leo lazima mtu atage na aage mashindano.
fainali ya mwisho ya mashindano haya tulishuhudia Atretico akipiga mbizi kwenye kokoto baada ya kukubali kipigo cha mbwa koko ndani ya uzio cha goli 4-1 hivyo kwa kibano kile ndicho kinafanya mechi hii iwe na mvuto kwani Madrid anataka kuendeleza Hishma ile hali Atretico anataka kufuta uteja.
watu pekee naotaka kuwadekea leo ni Christiano Ronaldo na mkuu wa Ndevu Arda ustaadh Turan...
.......................................................................
wajukuu wa Lavechia Signora kutoka katika viunga vya Torino nchini Italia wametua nchini Ufaransa na hivi navyoandika wapo katika mji wa Monaco wakijiandaa kumaliza kazi walioianza ktk Dimba la Juventus nchini Italia...
Juve kama Juve wakiongozwa na golikipa boora kabisa Gianluigi Gigi Buffon nawapa turufu yangu leo kwa kuwa wapo kamili kila Idara.
mpaka kufikia hapa Juve waliwaandamisha klabu ya Dortmund ya nchini Ujerumani.
ikumbukwe Juve wana kiungo boora kabisa anayezeheka na ubora wake Uncle Pirlo huku akizungukwa na watu kama Claudio Marchisio, Giorgio Chielini, Vidar Pardo, Patrice Evra, Alvaro Moratta lakini pale mbele yupo Carito nguli ngoma ngumu Oscar Carlos Tevez ambae anaweza kufunga goli aina yoyote, kwa mguu wowote na hata kwa kichwa.
FORZA JUVE...
the countdown has began....
Madrid wakiwa na kocha boora mwenye mafanikio akiwa mchezaji na pia kama Kocha Mr European Nightmare big Caro Ancelotti watakuwa na kazi ya kukabili kikosi cha Atretico kinachonolewa na mcharuko Diego Simeone.
game ya kwanza iliisha kwa pacha tasa...
hivyo kwa namna yeyote ile leo lazima mtu atage na aage mashindano.
fainali ya mwisho ya mashindano haya tulishuhudia Atretico akipiga mbizi kwenye kokoto baada ya kukubali kipigo cha mbwa koko ndani ya uzio cha goli 4-1 hivyo kwa kibano kile ndicho kinafanya mechi hii iwe na mvuto kwani Madrid anataka kuendeleza Hishma ile hali Atretico anataka kufuta uteja.
watu pekee naotaka kuwadekea leo ni Christiano Ronaldo na mkuu wa Ndevu Arda ustaadh Turan...
.......................................................................
wajukuu wa Lavechia Signora kutoka katika viunga vya Torino nchini Italia wametua nchini Ufaransa na hivi navyoandika wapo katika mji wa Monaco wakijiandaa kumaliza kazi walioianza ktk Dimba la Juventus nchini Italia...
Juve kama Juve wakiongozwa na golikipa boora kabisa Gianluigi Gigi Buffon nawapa turufu yangu leo kwa kuwa wapo kamili kila Idara.
mpaka kufikia hapa Juve waliwaandamisha klabu ya Dortmund ya nchini Ujerumani.
ikumbukwe Juve wana kiungo boora kabisa anayezeheka na ubora wake Uncle Pirlo huku akizungukwa na watu kama Claudio Marchisio, Giorgio Chielini, Vidar Pardo, Patrice Evra, Alvaro Moratta lakini pale mbele yupo Carito nguli ngoma ngumu Oscar Carlos Tevez ambae anaweza kufunga goli aina yoyote, kwa mguu wowote na hata kwa kichwa.
FORZA JUVE...
the countdown has began....