Yaani wewe ficha ujinga wako.Tokea lini kukawa na utulivu kati ya wapalestina na Israel?Nimeuliza swali dogo sana yaani katika Vita hii inayopiganwa kati palestina na Israel aliyechokonoa ugomvi ukaanza ni nani?? Kulikuwa na utulivu sana sasa kilichowatuma kuanzisha ugomvi ni nin
Kabla ya Oktober 7 Israel imekuwa ikiua ,kuteka na kuhodhi ardhi ya wapelestina kila siku.West Bank wapalestina wamekuwa wakishambuliwa na walowezi na askari wa kiyahudi kila siku.
Umeanza kuujua huu mgogoro tarehe 7 Oktober?Ficha ujinga wako kwa kukaa kinya.