Live kutoka kuzimu!

Live kutoka kuzimu!

Freemasons njooni Polepole, hapa Pana ulinzi, halipo ambalo halitafunuliwa Ili kuwatenga Wana wa Mungu na kuzimu ya moto.

Amen
Mbona mimi Nmekuuliza swali dogo tu lakini umenijibu mambo ya hovyo

Freemason wako wapi, waje kufanya nini nawewe.

Unapaswa kujibu unachoulizwa siyo hisia zako zinapokutuma
 
Sitakijibu ewe mwana wa kuzimu,

Tayari umeriport Ili Uzi ufutwe,

Wamesoma wengi tayari na watapata msaada.

Amen.
Swali langu lilikuwa na maana kubwa sana kukuuliza kama wewe ni mwendawazimu au laa!
 
Mbona mimi Nmekuuliza swali dogo tu lakini umenijibu mambo ya hovyo

Freemason wako wapi, waje kufanya nini nawewe.

Unapaswa kujibu unachoulizwa siyo hisia zako zinapokutuma
Sitakujibu ewe mwana wa kuasi.
 
Hali yako ya afya ya akili ni mbaya, unahitaji msaada wa haraka.

Nakushauri fika kwa wataalamu wa psychology haraka na mapema iwezekanavyo.

Shukrani
Potelea gizani in Jesus Christ name of Nazareth.

Amen
 
Njia ya Mbinguni ni nyembamba sana.

Mababu zako wengi wako kuzimu,

Epuka nilokudokeza na acha dhambi nilizodokeza na utazoendelea kuzisoma Ili usiwafuate Babu zako kuzimu ya moto.

Amen
Jibu swali langu usipindishe hoja hiyo smart phone unayotumia je?
 
Jibu swali langu usipindishe hoja hiyo smart phone unayotumia je?
Mimi Kwa Mfano,

Naitumia smartphone kueneza INJILI ingawa smartphone imebuniwa huko huko.

Ukiitumia kutizama picha za ngono, kueneza UOVU unatimiza kusudi la mapepo.

Swali jingine 🙏
 
Hii kitu haipo,Yesu hawezi kukutumia wewe kuhukumu watu wake aliowafia msalabani;

Unaita watu wana wa ibilisi wakati kwenye uzi wako umemtangaza ibilisi kuliko masihi!

Jitafakari
Msabato usiye na Macho ya Rohoni, huwezi kujua nani ni nani!!

Mafarisayo ndo walioshiriki kumwua Yesu. Sasa umeungana na mapepo nusu mtu nusu binadamu kunishambulia.

Yesu mwenyewe aliwaita watu "Mbweha" na alikuja duniani kuokoa, Unadhani Kila umuonaye au kujibizana nae ni mtu, utachelewa sana!!
 
Waacheni watoto WADOGO waje kwangu, msiwazuie maana watoto WADOGO kama Hawa, ufalme wa Mungu ni wao.

Kuwaacha watoto wamfuate Yesu ni kuwaelekeza waende Kanisani, ni kuwafundisha neno la Mungu.

Ni kuwazuia wasiangalie picha mbaya ambazo zitawafanya wawe wahalifu.

Ni kuwa
Nakuhakikishia wewe ni mjinga,yaani umeamua kushambulia wasabato badala ya mimi tunayehojiana hapa?,mbona mimi sijasema haya katika mlengo wa walokole?

Nakuambia,Kristo haubiriwi kwa kutangaza mabaya ya shetani,hii injili yako haipo na haina uzima ndani yake.

Endelea kudanganya watu,ila natamani uijue kweli ikuweke huru,kwanini unatangaza kazi za shetani badala ya wema wa Masihi?,

Ukiulizwa maswali unaweka maneno ya uongo au mafungu usiyoyaelewa!

Unakosea sana,ndio maana nasema,sina imani wala uhakika kama kabla ya kuandika huwa unatafakari madhara ya utakachoandika,utapoteza watu na usipokuwa makini hata wewe mwenyewe utapotea,usijione umekamilika eti hauhitaji elimu zaidi,umejikinai sana aisee.
 
Msabato usiye na Macho ya Rohoni, huwezi kujua nani ni nani!!

Mafarisayo ndo walioshiriki kumwua Yesu. Sasa umeungana na mapepo nusu mtu nusu binadamu kunishambulia.

Yesu mwenyewe aliwaita watu "Mbweha" na alikuja duniani kuokoa, Unadhani Kila umuonaye au kujibizana nae ni mtu, utachelewa sana!!
Huu ni ujinga na upumbavu,ngoja uendelee kutukana wasabato,mimi nitakuacha umalizane nao maana una uwezo mdogo wa kuchambua mambo!,mimi nitaendelea kuheshimu imani yako,ila wewe mwenyewe ni wa kudharauliwa!

Tokea nikuulize maswali yangu,hakuna hata moja uliloweza kujibu,uzi unaongea huu,msomaji akiangalia comments zangu na zako atajua una shida kubwa.
Umejikinai mkuu,tafakari
 
Nakuhakikishia wewe ni mjinga,yaani umeamua kushambulia wasabato badala ya mimi tunayehojiana hapa?,mbona mimi sijasema haya katika mlengo wa walokole?

Nakuambia,Kristo haubiriwi kwa kutangaza mabaya ya shetani,hii injili yako haipo na haina uzima ndani yake.

Endelea kudanganya watu,ila natamani uijue kweli ikuweke huru,kwanini unatangaza kazi za shetani badala ya wema wa Masihi?,

Ukiulizwa maswali unaweka maneno ya uongo au mafungu usiyoyaelewa!

Unakosea sana,ndio maana nasema,sina imani wala uhakika kama kabla ya kuandika huwa unatafakari madhara ya utakachoandika,utapoteza watu na usipokuwa makini hata wewe mwenyewe utapotea,usijione umekamilika eti hauhitaji elimu zaidi,umejikinai sana aisee.
Anzisha thread Yako unyooshe nilipopindisha.

Unaonaje ndugu The spirit of Tanzania?
 
Anzisha thread Yako unyooshe nilipopindisha.

Unaonaje ndugu The spirit of Tanzania?
Ili iweje?,
Si ungesema tu kuwa usiulizwe maswali?

Mbona hicho kitabu chenu mahali fulani imeandikwa "Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu. Nanyi mwe na dhamiri njema, ili katika neno lile mnalosingiziwa, watahayarishwe wale wautukanao mwenendo wenu mwema katika Kristo", mbona wewe haupo katika kundi la wenye tumaini na hauko tayari kumjibu kila mtu,unaishia kutukana wati tu?,

Hivi unaamini kabisa Kristo huyu atahubiriwa kwa njia uliyotumia wewe?

Hapana,unakosea,umejikinai sana.
Uzuri uzi huu naomba ubaki,usifutwe,maana itakuwa ushuhuda kwako na kwa watu wengine wanaoweza kupotea kwa uongo wako,nakuombea sana uijue kweli ikuweke huru!

Wewe umeshatukama imani za wenzako ila kamwe sitatukana imani yako lakini nakuthibitishia una shida kubwa na mbaya sana kiimani nayo si nyingine ni kujikinai.
 
Ili iweje?,
Si ungesema tu kuwa usiulizwe maswali?

Mbona hicho kitabu chenu mahali fulani imeandikwa "Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu. Nanyi mwe na dhamiri njema, ili katika neno lile mnalosingiziwa, watahayarishwe wale wautukanao mwenendo wenu mwema katika Kristo", mbona wewe haupo katika kundi la wenye tumaini na hauko tayari kumjibu kila mtu,unaishia kutukana wati tu?,

Hivi unaamini kabisa Kristo huyu atahubiriwa kwa njia uliyotumia wewe?

Hapana,unakosea,umejikinai sana.
Uzuri uzi huu naomba ubaki,usifutwe,maana itakuwa ushuhuda kwako na kwa watu wengine wanaoweza kupotea kwa uongo wako,nakuombea sana uijue kweli ikuweke huru!

Wewe umeshatukama imani za wenzako ila kamwe sitatukana imani yako lakini nakuthibitishia una shida kubwa na mbaya sana kiimani nayo si nyingine ni kujikinai.
No comment.

" Live kutoka kuzimu" itaendelea soon!

Endelea kusoma Ili ucoment utakavyo.
 
No comment.

" Live kutoka kuzimu" itaendelea soon!

Endelea kusoma Ili ucoment utakavyo.
Jifunze unyenyekevu!

Hii iwe ushuhuda kwa wewe ni mpotoshaji,wale wanakusapoti unawaongezea upotevu,wale wanaokuuliza maswali hujibu unatoa kejeli na kuwaita majina mbali mbali mabaya ukidhani ni sawa kufanya hivi!,mimi mwenyewe umeniita jina nisilostahili wakati ni mtu niliye na tumaini la uzima!

Unapotosha watu!
 
Wasioingia hapo kuzimu Ngazi ya pili ni wachawi.

Mungu Hana mipaka, aliye na YESU ana faraja la juu kuliko Malaika wa Nuru.

Aliyeokoka ni Mwana wa Mungu, Malaika ni watumishi wa waliookoka. Hakuna mipaka Wala vizuizi sababu Yesu ametaka tuyajue Ili tuwaase.

Manabii wa uongo wanawambia half truth, Mimi nakupa KWELI yote Ili usijesema sikuyajua au kuyasikia haya.

Amen
Waliokoka wapo mbinguni, Sio huku Duniani mkuu. Uzi wako ulianza vizuri lakini ukaja kuharibu.

"Kama ilivyo mbali mbingu na Dunia, ndivyo akili ya Mungu ilivyo mbali kuliko Akili za wanadamu." Ni vyema kukumbushana kutenda mema lakini sio kwa staili unayoitumia.
 
Inaonekana hata parenting style Yako ni ya kumtisha mtoto badala ya kumueleza facts behind ili aache kufanya kitu ambacho hutaki akifanye.

Hofu inaenda halafu inakuja kupotea, lakini kitu ambacho unakielewa nje ndani ni ngumu kururdia kukifanya.
 
Waliokoka wapo mbinguni, Sio huku Duniani mkuu. Uzi wako ulianza vizuri lakini ukaja kuharibu.

"Kama ilivyo mbali mbingu na Dunia, ndivyo akili ya Mungu ilivyo mbali kuliko Akili za wanadamu." Ni vyema kukumbushana kutenda mema lakini sio kwa staili unayoitumia.
WATAKATIFU walioko duniani ndio ni Walio Bora, hao ndio ninaopendezwa nao (Zaburi 16:3).
 
Inaonekana hata parenting style Yako ni ya kumtisha mtoto badala ya kumueleza facts behind ili aache kufanya kitu ambacho hutaki akifanye.

Hofu inaenda halafu inakuja kupotea, lakini kitu ambacho unakielewa nje ndani ni ngumu kururdia kukifanya.
Kumwambia mtoto ukiendelea kuvuta bangi na madawa ya kulevya kuwa hatari inayomkabili mbele ikiwa ataendelea ni kifungo, kuwa mwehu au kufa ni kumtisha?
 
Niongzee
kuzimu hamna maji milele
hewa ya oxygen mlele
ni giza
joto ni kali sana ukikanyaga chn unaacha nyama
moshi mwingi
kelele nyingi
Mfungwa siku zote
Funza wakali
Hakuna muda,ndo umilele unapo kuja hapo.
Solution ni moja tu,, kuna kitu ni kikuu kuliko Mungu elohim mwenyewe ni neno lake tu, Kulipindua au kulilegeza kidogo inamdai sadaka ya dam itayo muuma sana atoe kwenywe realm ambayo aliitengeneza yeye akaipa roho na sheria itamdai sadaka, sasa either Yesu aje ateswe tena mara saba zaidi, au wale wanne wenye uhai au matherafi wote au makerubi wote Au Michael amor angle awe mali ya Lucifer Deni la kuzimu kwa dam ya wanadamu litakuwa limelipwa
 
Back
Top Bottom