Live: Leo ni zamu ya Mbao FC kuraruliwa na Simba SC

bila shaka wewe ni shabiki wa "masufuria ya pilau fc" BISHAAAA????..
U r wrong,mimi ni shabiki wa wazee wa kampa kampa tena wazee wa mipasi 7000,km kawaida yetu tunamkimbiza mwizi wetu kimya kimya
 
U r wrong,mimi ni shabiki wa wazee wa kampa kampa tena wazee wa mipasi 7000,km kawaida yetu tunamkimbiza mwizi wetu kimya kimya
khaaaa im wrong wapi sasa???....wazee wa kagongwa kagongwa tena (medeama na tp mazembee) sio ndio hao hao "masufuria fc???
 
Mnyama kala adi miti (mbao fc), subiri yule dogo atajipitisha siku nyingine aone.
 
Wakubebwa aka Yeboyebo bado ana hope lambalamba yeye ameshasalimu amri kwa mnyama aka Lunyasi

😀😀😀😀😀😀 Hawa Chaneta FC sasahivi Wanadowea Miujiza Tu Mnyama Ajikwae Jambo Ambalo Halitowezekana Manake Anararua tu... Nadhani Chaneta FC taratibu Wanaanza Kuukubali Ukweli Kuwa Simba anaanza Kuukaribia Ubingwa taratibu..

Chura haamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…