George Kahangwa JF-Expert Member Joined Oct 18, 2007 Posts 547 Reaction score 148 Dec 8, 2011 #141 Bantugbro said: Mkuu, weka link ya forum ya hao Waganda basi... Click to expand... naona ni chombo cha habari, na watu mmoja mmoja wanachomeka maoni LIVE: Uganda Cranes Vs Tanzania
Bantugbro said: Mkuu, weka link ya forum ya hao Waganda basi... Click to expand... naona ni chombo cha habari, na watu mmoja mmoja wanachomeka maoni LIVE: Uganda Cranes Vs Tanzania
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Dec 8, 2011 Thread starter #142 dakika ya mwisho!
Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Dec 8, 2011 #143 bado dk 1 ya nyongeza
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 28,186 Reaction score 15,549 Dec 8, 2011 #144 Katavi said: dk ya 90, zimeongezwa nne za nyongeza! Click to expand... kweli mkuu una presha,
Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Dec 8, 2011 #145 umeisha, tunaenda penalts shooting!
K Keykey JF-Expert Member Joined Dec 1, 2006 Posts 3,251 Reaction score 747 Dec 8, 2011 #146 Waganda wamepewa yellow kadi zaidi ya 4, inaelekea wametumia nguvu ya ziada kipindi cha 2, laiti mpira ukienda extratime tunawalaza.
Waganda wamepewa yellow kadi zaidi ya 4, inaelekea wametumia nguvu ya ziada kipindi cha 2, laiti mpira ukienda extratime tunawalaza.
George Kahangwa JF-Expert Member Joined Oct 18, 2007 Posts 547 Reaction score 148 Dec 8, 2011 #147 mganda roho juu [TABLE="width: 100%"] [TR] [TD][/TD] [TD][Comment From William William : ] Banange, can we make it [/TD] [/TR] [/TABLE]
mganda roho juu [TABLE="width: 100%"] [TR] [TD][/TD] [TD][Comment From William William : ] Banange, can we make it [/TD] [/TR] [/TABLE]
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,370 Dec 8, 2011 #148 dah Stars fungenio hao sijui hata ni ngapi ngapi
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Dec 8, 2011 Thread starter #149 mpira umemalizika! Dk za nyongeza zinasubiriwa!
Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Dec 8, 2011 #150 Katavi said: dakika ya mwisho! Click to expand... katavi nakuona upo karibu na hao maaskari hapo!
figganigga JF-Expert Member Joined Oct 17, 2010 Posts 25,724 Reaction score 55,906 Dec 8, 2011 #151 mpira umemalizika.wameongezewa dakika 30. so tusubili. KILIMANJARO 1 - 1 UGANDA mia
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,947 Reaction score 4,470 Dec 8, 2011 #152 Zinaongezwa 30? Hapo killi bye bye,
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Dec 8, 2011 Thread starter #153 Chimunguru said: dah Stars fungenio hao sijui hata ni ngapi ngapi Click to expand... 1-1, dk 90 tayari tunasubiri 30 za nyongeza!
Chimunguru said: dah Stars fungenio hao sijui hata ni ngapi ngapi Click to expand... 1-1, dk 90 tayari tunasubiri 30 za nyongeza!
Masika JF-Expert Member Joined Sep 18, 2009 Posts 723 Reaction score 30 Dec 8, 2011 #154 dk 90 zimeisha bado 1:1
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,023 Reaction score 12,811 Dec 8, 2011 Thread starter #155 MTM said: kweli mkuu una presha, Click to expand... ahahahaah!!
figganigga JF-Expert Member Joined Oct 17, 2010 Posts 25,724 Reaction score 55,906 Dec 8, 2011 #156 kipindi cha pili tumeshambuliwa na kukoswakoswa sana. hadi uganda wakapata kona 12 dhidi ya kona 2 za Kili star. mia
kipindi cha pili tumeshambuliwa na kukoswakoswa sana. hadi uganda wakapata kona 12 dhidi ya kona 2 za Kili star. mia
Mchana Senior Member Joined Sep 27, 2007 Posts 183 Reaction score 16 Dec 8, 2011 #157 Link ya kufuatilia extra time ya Uganda VS Tanzania LIVE: Uganda Cranes Vs Tanzania
Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Dec 8, 2011 #158 naona kaseja anaongea na marefarii pale na captain mwenzake wa ug kuchagua goli
Mizizi JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 1,275 Reaction score 391 Dec 8, 2011 #159 sio penalts, ni dk 30
George Kahangwa JF-Expert Member Joined Oct 18, 2007 Posts 547 Reaction score 148 Dec 8, 2011 #160 NV: So we have a deadlock after 90 minutes. Standby for a nailbiting 30 minutes of extra time and possibly penalties in a repeat of last year's tie fuatilia hapa LIVE: Uganda Cranes Vs Tanzania
NV: So we have a deadlock after 90 minutes. Standby for a nailbiting 30 minutes of extra time and possibly penalties in a repeat of last year's tie fuatilia hapa LIVE: Uganda Cranes Vs Tanzania