Live: Nusu fainali ya challenge cup

Live: Nusu fainali ya challenge cup

Waganda wamepewa yellow kadi zaidi ya 4, inaelekea wametumia nguvu ya ziada kipindi cha 2, laiti mpira ukienda extratime tunawalaza.
 
mganda roho juu
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][Comment From William William : ]
Banange, can we make it [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
mpira umemalizika! Dk za nyongeza zinasubiriwa!
 
mpira umemalizika.wameongezewa dakika 30. so tusubili.
KILIMANJARO 1 - 1 UGANDA
mia
 
kipindi cha pili tumeshambuliwa na kukoswakoswa sana. hadi uganda wakapata kona 12 dhidi ya kona 2 za Kili star. mia
 
naona kaseja anaongea na marefarii pale na captain mwenzake wa ug kuchagua goli
 
Back
Top Bottom