faithful
JF-Expert Member
- Aug 10, 2010
- 378
- 34
Pamoja na uchakachuaji wameambulia 61% duh kweli walizidiwa..
duuu!pamoja na makelele yote chadema wameambulia asilimia 26 tu!
mwanaume kaumbwa na haya kumbe..............hajaonekana angeweka wp sura!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na uchakachuaji wameambulia 61% duh kweli walizidiwa..
Kipenzi cha wengi, Dr Slaa hajatokea kwenye tafrija ya kutangaza matokeo ya urais.
Ridhiwani ni mgombea wa chama gani?maana wapo wa CCM(Jk),CUF(Lipumba)
Kikwete- "tunajenga nyumba moja, hatugombei fimbo" akiongelea CCM na upinzani
Kikwete- "tunajenga nyumba moja, hatugombei fimbo" akiongelea CCM na upinzani
Tayari Wagombea wote akiwepo JK wameshawasili.
Dr. Wibroad Slaa bado hajawasili:
==================
UPDATES:
WALIOJIANDIKISHA: 20,137,303
Waliopiga kura 8,626,283 = 42.84%
Kura zilizoharibika = 2.64%
Mgawanyo wa kura ni hivi:
APPT: 96,933 = 1.12%
CCM: 5,276,827 = 61.17%
CHADEMA: 2,271,941 = 26.34%
CUF: 695,667 = 8.06%
NCCR: 26,388 = 0.31%
TLP: 17482 = 0.20%
UPDP: 13,176 = 0.15%
Raisi kachaguliwa na 26% ya watu waliojiandikisha kupiga kura (20million) ni aibu sana! 'waliozuiwa' ni wengi mno..Tayari Wagombea wote akiwepo JK wameshawasili.
Dr. Wibroad Slaa bado hajawasili:
==================
UPDATES:
WALIOJIANDIKISHA: 20,137,303
Waliopiga kura 8,626,283 = 42.84%
Kura zilizoharibika = 2.64%
Mgawanyo wa kura ni hivi:
APPT: 96,933 = 1.12%
CCM: 5,276,827 = 61.17%
CHADEMA: 2,271,941 = 26.34%
CUF: 695,667 = 8.06%
NCCR: 26,388 = 0.31%
TLP: 17482 = 0.20%
UPDP: 13,176 = 0.15%