Kumbe ndo unaniteta hivi huku ama kweli kikulacho kinguoni mwako,wewe si rafiki mwema tena,na hafugiki mtuInawezekana mfuniko hatukuufunga vizuri. Ngoja nikuchekeshe sasa huyo mke anayemtaka Daudi1 ni wa Excel, naye hataki kumwacha anataka mitala. Matokeo yake msukule wetu umebaki unashangaa shangaa.
Tuliwaambia sisi mbona watakesha humu. Huyu mwingine nimefunga vizuri hatoki kabisa humu kwenye chupa.
Hawaendi kokote shoga angu miye. Chezeya chupa tena toka Nigeria
Mimi hapa nimefika,Habari za humu mjengoni
Thubutuuuuuuu!Usijali mi naeka dawa vizuri,hawatoki hawa....
Haya oa unafikiri natishika? Si unanijua nilivyo kichwa ngumu?
Natafutiwa mwingine, tutakula bata mpaka wewe kuku uone wivu.
Hao wasikuchanganye beba mtoto weka ndani wanawake wenyewe hawaeleweki moja haikai mbili haikai huyo anakuzingua oa tu utulie na mkeoHawa watoto hawataki tuoe sijui unasemaje?
Nikikosa mke navunja ndoa ya Bantu lady
Wataisoma namba mwaka huu
Hakuna wakuisoma namba wala herufiWataisoma namba mwaka huu
Hao wasikuchanganye beba mtoto weka ndani wanawake wenyewe hawaeleweki moja haikai mbili haikai huyo anakuzingua oa tu utulie na mkeo
Na ndo maana yake ili wajue kama sisi ni majenereta basi wao sheri mafuta tunachukua kwaoNa kwenye harusi tunawaalika kama kawaida.
Aahh! Kumbe bado unataka mwanaume?
Wee naye kusoma hujui hata picha huoni?
Jamani natangaza nia nampenda Eiyer..kama ana mtu wake ajitokeze....or else nianze kampen za kuwania jimbo.
Nimeipenda hiyo! Utakuja kwenye harusi yangu dear?!.
Kufanya nini? Sasa unaniringishia ama?
Ningekutaka ningeshakuchukua now usingefurukuta, ukiona hivyo kuna mtu namuwinda mahesabu hayajakaa sawa.
Wala sikiringishii! Mimi nipo ila honeymooning nitazima simu! Ila nikitoka mambo yetu kama kawaida nitafute tu, si unajua ulichokifanya.
Jamani natangaza nia nampenda Eiyer..kama ana mtu wake ajitokeze....or else nianze kampen za kuwania jimbo.