Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

Shemeji yako mzima kabisa nimetoka kumpa stata sasa imemchosha amelala

Du na hali ya hewa hii! Hapo ni starter tu kazi yenyewe bado, naona Bantu lady atakuwa kwenye warming up muda huu maana amepotea ghafla.
 
Last edited by a moderator:
Du na hali ya hewa hii! Hapo ni starter tu kazi yenyewe bado, naona Bantu lady atakuwa kwenye warming up muda huu maana amepotea ghafla.
Anapiga jalamba ndo muda wenyewe huu ngoja na mimi nipate cha kulalia hapa jombaaa usiku mwema
 
Unajua unanichafua bure hapa? Wewe hukua jenereta langu, mimi nawewe tulimalizana mapema baada ya kumpata mahabuba wangu Oooh. Hahaahaaa best umepagawa mpaka ukadhani ni mimi duh punguza mawenge bana

hahahaha aisee leo mnanifurahisha sana ati,
 

Na ww yko ipi
 
Last edited by a moderator:
Saizi kaacha michepuko maana alitaka aanze tena

na umempa big BAN!!!
kimyaaaaa. nimeona sehemu kabadili hadi maana, eti wewe hukuwa jenereta.
oooh alikuwa hajakuita wewe mara ye anampenzi..
full kujimixxxx
 
kiwatengu, nataka nioe wawili kwa mpigo.....hii waonaje?
 
Last edited by a moderator:
na umempa big BAN!!!
kimyaaaaa. nimeona sehemu kabadili hadi maana, eti wewe hukuwa jenereta.
oooh alikuwa hajakuita wewe mara ye anampenzi..
full kujimixxxx
Nilitaka abaki njia kuu michepuo haina dili saizi ukizingatia mume wake sungura1980 anavyompenda na kumjali atakuwa anamuonea tu,namsubiri huyu mwenzake 'valentina' maana lao lilikuwa moja naye atulie na mumewe tena yule ana bahati mumewe huwa anamletea vitu vizuri mimi nashangaa
 

watulie kwa kweli..
'Valentina'..
 
Last edited by a moderator:
Jirani mambo vp, huyo alikuwa jenereta wa shostito sasa leo katajwa maneno yalivyomtoka hahahaaaa.
Hasira zake zote za kukataliwa kazitolea uvivu leo.
Nacheka hapa acha jirani.

haya nitaona mwisho wake yangu macho maana hawa wanaume nao mmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…