Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,684
- 28,777
Sikudai pesa mimi, kwanza huwa sina nguvu ya kudai warembo, ila umenilaza mlango wazi siku mbili mfurulizo inaniuma sana, hapa kichwa ni kizito nahisi Nina malaria kwa kuliwa na mbu.
Hahaaa,ndo ukome