shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,367
Ndio nini kunianika barazani na Rich Pol?
Sasa ndio nitajua kama mume wangu ananipenda au nitegemee talaka. Jirani vibaya hivyo, imebidi nikurupuke usingizini.
cc: Shansarie
nini tena jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nini kunianika barazani na Rich Pol?
Sasa ndio nitajua kama mume wangu ananipenda au nitegemee talaka. Jirani vibaya hivyo, imebidi nikurupuke usingizini.
cc: Shansarie
Sungura1980 baada tu ya kukutana hee akasema anogopa kuibiwa, ikabidi ndoa ya rasharasha ifungwe jirani.
Sasa jana nikapitia ile nyumba ya mtongozano kuna kijana pale Rich Pol yuko tayari hata kuwa kidumu ila sijampa jibu bado.
eenh! yani ile kufika tu hata hujamjua excel wala nani, ukawekwa ndani?
sasa selection and choice uliifanyaje mtoto mzuri?
Wewe hata sijui ulijichimbia wapi jirani. Nilipofika nikachoshwa na upweke halafu nikicheck bango hapo juu kila mtu na wake.
Basi nikaanzisha topic ya romantic guy, wakajitokeza nikachagua kwa interview maalum. Mwisho wa siku akapatikana yeye.
Hii ni ME
ya haswaa..yaan geniune...
oh my head...!!!
na experience yangu yooote hii ya rythm and lyrics, nikashindwa kukuona jamani?
wallahi usingefikisha replies tano ww bila kunyoosha mikono!
Hahahahahaaaa etie eeh. Ndio haikupangwa hivyo, nikapangiwa sungura1980. Hana neno ananipenda sana na kudekezwa sana. Mimi ndio malkia wake.
Everything is good this morning what a nice valentine thankx darl kiwatengu
nini tena jamani
haya bana! tutabaki kuwa friends for benefit..!
karibu breakfast basi mwanamwema!
Mambo ya gizani ukayaunganisha pamoja jirani ili mume wangu hata asipate tabu kujua kilichokuwa kinaendelea wakati kalala.
Ila usijali najua wewe ndio utakayenitetea kwake, hakijaharibika kitu.
Tatizo si wewe rich ndo mwenye shida hawezi kukuacha kamwe Sungura 1980 anakupenda sana
Asante sana. Yeah sisi tunakuwa marafiki wema kabisa.
Nitakaribia muda si mrefu best.
hahahaa!! we mwanamke utachanganyikiwa bure!
yani mi nakusalimia unadhani ni mumeo?
mimi ni excel bana!!!! hebu niangali vizuri!!
Yeye Rich Pol halafu hanaga kama msimamo hivi, leo ataamka na jipya.
Jana tulikubaliana awe jenereta shost uneme ukikatika sitaki kukaa giza miye wakati majenereta yapo.
Ahaaa oow sorry nilidhani mume wangu unajua bado kanokumbatia hapa pole sana mi mzima sana lakini