Live Updates:Costal Union vs Yanga

Nadhani mkuu utakuwa unajiongelea wewe na timu yenu ya ndala maana kwenye masuala ya hongo hamna mpinzani...........
 
Nadhani mkuu utakuwa unajiongelea wewe na timu yenu ya ndala maana kwenye masuala ya hongo hamna mpinzani...........

Na yule mchezaji wenu wa zamani wa simba Ulimboka aliyekashitakiwa kule morogoro kwa kosa la kumkuta akitoa hongo kwa golikipa wa zamani wa mtibwa suger Shaban Kado nae alitumwa na yanga!!?, watu wengine bhana sijui wakoje!!! Unakumbuka lile sakata la wachezaji wa azam fc ambao walifungiwa na timu yao kwa kubainika kuwa waliihujumu timu baada ya kupewa chochote kitu na viongozi wa timu yenu halafu wakasabisha timu yao kufungwa goli tatu!!!!. Rudi ukajipange then utakuja tena hapa wewe mbumbumbu wa kariakoo.
 

Rage hakukosea: Simba SC fans are Mbumbumbu!
 
Mida inayoyoma,yamebaki masaa takribani manne tu,au dakika takribani 240 ama sekunde 14400 ule mtanange kati ya Costo ya Tanga na Yanga ya Dsm kupigwa.OKWI BOBAN SUNZU na makamanda wengine tutakuwa live kukujuza kinachojiri.Inasemekana game itakuwa serious sana.Usicheze mbali
 

Mkuu OKW BOBAN SUNZU uwepo jukwaani hadi mwisho na utoe updates bila kuegemea upande wowote kama Makoye Matale anavyofanyaga, sawa?
 
Last edited by a moderator:

Rage hakukosea: Simba SC fans are Mbumbumbu!
Naona mnajifunza kutukana ukubwani, cha ajabu hata watumishi wa Bwana wameanza kuingia mkenge wa kusapoti huyo hapo juu.
Hamjui kuna watu wana Shahada zao za Uzamivu humu?
 
Naona mnajifunza kutukana ukubwani, cha ajabu hata watumishi wa Bwana wameanza kuingia mkenge wa kusapoti huyo hapo juu.
Hamjui kuna watu wana Shahada zao za Uzamivu humu?

Hiyo ni kauli ya mwenyekiti wenu mhe. Rage. Siyo ya mtumishi wa Bwana Makoye Matale, watu wote wanalijua hilo, ukibisha utakuwa hujafikishwa Mirembe huku ukistahili kuwa huko.

Uzamivu unaingiaje sasa hapa? Tukianza kutishiana CV hapa tutapoteza uelekeo, hapa ni jukwaa la michezo tu siyo la elimu, unadhani wewe tu ndiye mwenye hiyo PhD? Pole sana!

Ukiona mtu anakilimbilia kutaja shule yake ujue huyo kazidiwa hoja, anataka watu wakae kimya kwa kuwatishia kiPhD cha chuo feki hapa jukwaani, wengine wataibuka waseme wao ni maprofesa sasa sijui itakuwaje. Ngoja tusubiri.
 
Mungu saidia vijana wetu hawa A. Tambwe, Barthez na S. Msuva waitende kazi ambayo wamekuwa wakiifanya na kama tulivyowatuma kwa usahihi leo hii huko Tanga uwanja wa Mkwakwani, kama wenzao akina Okwi, Kaseja walivyoikamilisha kwa usahihi na kurejea nyumbani wakiwa salama. Mlinde Kijana wetu J. Kaseja na kesi za kijinga za hawa watu maana najua wakishindwa kesi wanaweza hata kumroga ili asiweze kurudi nyumbani akiwa salama. Ameen.
 
Hiyo ni kauli ya mwenyekiti wenu mhe. Rage. Siyo ya mtumishi wa Bwana Makoye Matale, watu wote wanalijua hilo, ukibisha utakuwa hujafikishwa Mirembe huku ukistahili kuwa huko.
Kwahiyo wewe unamuunga mkono yule kichaa mwenzako au siyo? Sitashangaa ukimsapoti Rage maana alikuwa analindwa na TFF ambayo wote tunaijua imejaa watu wanaoshabikia timu gani.

Umeshindwa hata kuelewa ni mara ngapi alipinduliwa na mara zote hizo amelindwa na vichaa wenzake wapenda matusi kutoka Yanga waliojazana TFF.
 

Sikujua Mkuu Dr. grafani11 (PhD) kuwa kumbe Simba imewahi kuongozwa na kichaa!

CC. Masuke, Amavubi, BBA, Crashwise, Ngarna, sembo, Bantu lady, mkolaj na wakuu wote mashabiki wa Simba na Yanga.
 

Dar au Tanga ground
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…