Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Mkuu huyo Makoye Matale nilidhani ni mtu mmoja mwenye busara sana alipotuaminisha yeye ni mtumishi wa Mungu. Lakini nimegundua ni tapeli la kawaida la mitaani, ametukana humu ndani, mimi sikutaka kumjibu kwa tusi lakini nikamuonya kwa kumwambia kwamba kama yeye anajifunza matusi ukubwani sisi tuna shahada ya uzamivu katika suala hilo.
Neno shahada ya uzamivu limemtoa katika reli akaanza kutoka mapovu tena mwisho wa siku na vijana wanaokurupukia hoja wakalishika neno la Makoye Matale na kuanza kuniuliza maswali ya kitoto. Ndugu yetu Makoye ni wakukurupuka 100%.
Mkuu grafani11 sijatukana mtu yeyote humu jamvini na kamwe siwezi kufanya hivyo, nimem-quote mwenyekiti wenu Rage aliposema wana Simba ni mambumbumbu! Kama hilo ni tusi naomba nielimishwe.
Kuhusu uzamivu wala usihangaike, sitishiki na shule yoyote mimi, elewa hivyo tu. Hapa tujadili Simba na Yanga, full stop.
Last edited by a moderator: