Live Updates:Costal Union vs Yanga

Live Updates:Costal Union vs Yanga

yanga chiboko, mmeyatupa makapi ya simba leo
Wamekumbuka shuka wakati kumekucha, tuone watupe na wale vijana wetu waliopo Yanga kikazi. Tukiwataja haraka watashtuka ngoja wachapwe kwanza kama michezo miwili mfululizo hivi.

Kaseja ameshamaliza kazi yake, bado anawapelekesha puta kisheria kwanza, maana Yanga hata Kaseja anawazidi kwa kufahamu vifungu vya sheria. Wakati wanamchukua maskini hawakujua hata kama Jamaa ana kadi ya uanachama ya Simba.Kaseja hureeeeeeeee
 
Coastal union lazima leo abugizwe goli mbili tu.
 
Kumekucha mkwakwani tanga, coast 0-1 yanga
 
Back
Top Bottom