Live Updates: Droo ya Robo Fainali ya UCL, Nyon Uswizi, leo Ijumaa 20.03.2015

Live Updates: Droo ya Robo Fainali ya UCL, Nyon Uswizi, leo Ijumaa 20.03.2015

Dah, maskini chama langu bingwa mtetezi. Naona kama safari inafika kikomo maana hao Atlet kwa kuikamia Real; utadhani ndio wanachukua kikombe.

Mbaya zaidi kwa kijana "current Ballon D'or player of year" the one-man-army; hesabu zitaharibikia hapo hapo!!

Ila katika soka kila kitu kinawezekana...go, go, go Blancos!!
 
Sasa mbona mechi zote za jumanne tamu asee tuangalie ipi tuache ipi
 
this time time hakuna team hata moja kutoka England,kwe Man United ndomwakilishi pekee wamashindano yakimataifa kwenye EPL leo hayupo nafasi yake waliochukua walikuwa makapi tuu
 
Unaelewa maana ya ushabiki wewe? Ningekuwa shabiki ningeandika "Bayern lazima ashinde". Nimeanza comment yangu kwa kusema "Bayern anaweza kushinda", na nikatoa sababu. Ushabiki uko wapi hapo? Kama una kumbukumbu kwenye uzi wa Messi nimetoa comment na ukani-quote sasa nigekuwa shabiki wa Bayern ningemsifia Messi? Wengine tuko neutral huwa tunaangalia mpira na sio kushabikia blindly.

Mkuu, tatizo ni kwamba umeelezea mazuri ya timu moja tuu na kuacha timu nyingine.
 
my dream draw...set 1
Barcelona vs. Bayern Munich
Real Madrid vs. Porto
Juventus vs. AS Monaco
Paris Saint-Germain vs. Atletico Madrid

my dream draw set 2
Barcelona vs. Paris Saint-Germain
Atletico Madrid vs. Juventus
AS Monaco vs. Porto
Real Madrid vs. Bayern Munich

my dream draw set 3
Real Madrid vs. Atletico Madrid
Paris Saint-Germain vs. AS Monaco
Barcelona vs. Bayern Munich
Porto vs. Juventus
naona kila set yangu imekubali

cc:
MUSSOLIN
 
Juventus ndio wamepata timu dhaifu zaidi. Hapa semi final ni kitu kisichoepukika. Kama wakifanikiwa hapo watakuwa na 90% kuchukua kombe kabisa. Timu ipo na nidhamu na spirit pia.
 
Juventus ndio wamepata timu dhaifu zaidi. Hapa semi final ni kitu kisichoepukika. Kama wakifanikiwa hapo watakuwa na 90% kuchukua kombe kabisa. Timu ipo na nidhamu na spirit pia.

pogba nje miezi miwili
 
Back
Top Bottom