this time time hakuna team hata moja kutoka England,kwe Man United ndomwakilishi pekee wamashindano yakimataifa kwenye EPL leo hayupo nafasi yake waliochukua walikuwa makapi tuu
Hao man wameshiliki mara ngapi na wamefanyanini..!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
this time time hakuna team hata moja kutoka England,kwe Man United ndomwakilishi pekee wamashindano yakimataifa kwenye EPL leo hayupo nafasi yake waliochukua walikuwa makapi tuu
Hao man wameshiliki mara ngapi na wamefanyanini..!?
this time time hakuna team hata moja kutoka England,kwe Man United ndomwakilishi pekee wamashindano yakimataifa kwenye EPL leo hayupo nafasi yake waliochukua walikuwa makapi tuu
Juventus ndio wamepata timu dhaifu zaidi. Hapa semi final ni kitu kisichoepukika. Kama wakifanikiwa hapo watakuwa na 90% kuchukua kombe kabisa. Timu ipo na nidhamu na spirit pia.
Ushabiki wa kindezi ndo hu,timu imeshindwa Premier itaweza Uefa.
hodi hodi humu ndani!namtafuta Salamander
Juventus vs Monaco
Timu dhaifu inafika Robo fainali? Hakuna timu dhaifu hapo,kila timu ni jiwe we subiri uone
mkuu naomba niituze hii sentensi hadi baada ya mechi!!
Atletico wetu wale, mi nilikwambia nawaogopa Juve kuliko hawa.
mkuu naomba usiangushe machozi,wala sikuonei,ila nakueleza kiroho safi tu kwamba hii ndio list ya nusu fainali:Bayern,Barca,Atletico,Juve.
Naona safari ya R.Madrid umefikia kikomo.
Kila kitu kinawezekana na huo ndio mtazamo wako'lakini mimi nina timu nzuri ya kucheza mpaka fainali, tusubiri tuone.