Live Updates: Droo ya Robo Fainali ya UCL, Nyon Uswizi, leo Ijumaa 20.03.2015

Live Updates: Droo ya Robo Fainali ya UCL, Nyon Uswizi, leo Ijumaa 20.03.2015

psg wale ni wetu tunasukuma kama mlevi vile mashabiki wa chelsea tutakulipieni shangirieni tu barca kwa roho safi
 
Mkuu salamander naona tumekumbana na kigingi kuelekea nusu fainali

Usiogope, Atletico wamekuwa wana-defend tu kwenye mechi zao zote za hivi karibuni, ndio maana wameshapoteza mechi kadhaa lakini watu hawaongei anavyoongea kama ikipoteza mechi Real. Kama umeona mechi yao na Liverkusen, wale watoto walikosa tu confidence, Atletico walipata goli dakika ya 27, kisha wakachezeshwa half ground mechi yote mpaka wakashinda kwa pelnaties kwa bahati tu. hawana timu ya kutisha sana wale.
 
uefa.jpg
 
Usiogope, Atletico wamekuwa wana-defend tu kwenye mechi zao zote za hivi karibuni, ndio maana wameshapoteza mechi kadhaa lakini watu hawaongei anavyoongea kama ikipoteza mechi Real. Kama umeona mechi yao na Liverkusen, wale watoto walikosa tu confidence, Atletico walipata goli dakika ya 27, kisha wakachezeshwa half ground mechi yote mpaka wakashinda kwa pelnaties kwa bahati tu. hawana timu ya kutisha sana wale.

Real tunawapiga vizuri tuu
 
Wanabodi,
Leo ndio ile siku iliyokuwa inasubiriwa ambapo droo ya robo fainali ya Uefa Champions League (UCL) inafanyika pale Nyon Uswizi.

Droo inatarajiwa kuanza saa 8 mchana kwa masaa ya hapa nyumbani Tanzania, hivyo karibuni sana msicheze mbali.

Kuelekea kwenye droo hapo baadae unadhani timu zipi zinaweza kukutana kwenye hatua hiyo ya robo.

Timu zilizopo ni;
Barcelona (Spain)
Real Madrid (Spain)
Atletico Madrid (Spain)
PSG (France)
As Monaco (France)
Bayern Munich (Germany)
Juventus (Italy)
Porto (Portugal)

cc: Amavubi Mourinho Nzi IFRS TUPACified mjukuum made ALEYN beefinjector LORDVILLE Nyani Ngabu The Boss RRONDO SAUTI YAKO EMT Belo Ntunzu Mbu everlenk Tyta

BARCA ndo BINGWA wa msimu huu
 
Hivi kwann mechi zote Barcelona huwa anamalizia nyumbani hii ni kuibeba timu hii nimeangalia droo ya leo ndo nimechoka kabisaa
37EFDCB3F9C73B11E4DD21AFC15B2A23.jpg
 
Kwa hyo mtoa mada we unataka nani amalizie kwao?? kwan barca haina haki.ya kumalizia kwao?? then.mbna hata madrid inamalizia.kwao?? na mnaondolewa... Chezea simeon😕

team.BARCELONA
 
Kwani man city alipigwa ngapi nyumbani kwao, waambie hao psg wakampigie palepale kwao!!!! Au kiwanja cha pale camp nou ni mdogo?

Mwambieni mchumba ronaldo acheze aache mambo ya kutembea na side mirror.
 
Kwani man city alipigwa ngapi nyumbani kwao, waambie hao psg wakampigie palepale kwao!!!! Au kiwanja cha pale camp nou ni mdogo?

Mwambieni mchumba ronaldo acheze aache mambo ya kutembea na side mirror.

Na Jumapili ndo wanaenda Camp Nou, hapo Madrid atasaga meno na kulia.
 
Back
Top Bottom