CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Kuna nini hapa?
Umesamehewa mpenzi,
Usitende tena dhambi. Kabla hujarudi Rock Cityu hakikisha umeshakaguliwa na ODM. sawa eh?
Brajec wapi mamito?
Member wa Dar waoga kama nini tulikuwa 6 tu.
Me sahv chama langu ni Arusha.
hapana shost... tulikuepo jana... leo mning'inio tu hapa... habar ya richman?
Hahahah poleni bora uwe universal member ka mie....
Mbona updates hazipo, kulikoni au hapakuendeka?
nashukuru Madam B kwa kukiri kuwa mlifunikwa.....sisi walitokea wote kama ilivyopangwa.....na tulikula bata mbaya mpaka monii......Chugga chama kubwa bana........karibuni wote mnaohitaji usajili wa kudumu.........
Wajulishe hata duniani ukisema Tanzania wanajua Arusha, na hata toto zuri zote zipo jiji hili tehe tehe tehe.
Nimetupa jiwe gizani hapo,
Kwema shosti napiga grants zangu taratibu 2 hapa....karibu
Unataka uwekewe mpambano kati yako na Asprin.
Mshindi anazawadiwa Dildo.
Mpambano wa nini? Mi dildo ninayo natural. Inahudumia
we mkareeee!
Jamani karibuni. Ndo mchana unapita.
Mkuu ndio naamka, jana nilipitia mahali flani kulikuwa na KIGODORO, Duh, ahsante kwa lunch maana nilikuwa naubao mbayaaaa...
halafu hyo binti charminglady mie nilimjua tangu awali na nikawaambia lakini mkanipuuza... chezea Telepathy nyie, na yume mkuu aliyekyja na ODM Mzee Asprin nilimtambulisha kwenu akanikanyaga mguuni kunizima, Je mlimtambuaaa, au Brandy ilishawapanda vichwani?
Niulizeni niwakumbushe, alikuwa ni mtu muhimu kumjua katika eneo lile........ANAHUSIKA SANA NA JF
Asante shem.
Mwambie Hubby wangu Arushaone aniwekee siti ya dirishani.
nasikitika kukosa....hivi lini tena mmepanga kukutana.