Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
best umefika??Mai weeee, kumbe mama Ngina alinisachi... walleti...!
Hapa naona kama vile hakitaeleweka, nijiondoe kabla sijavuliwa suruale
]
Ndo nimefika survey hapa naona maandalizi sio mabaya, kreti za bia zinaingia ndani tayari kwa kupangwa kwenye fridge and freezers tayari kwa chit chatters jion hii..
Mbuzi na bata kazaa naona nao wanatoka machinjion wanaingia ndani..
Mi ndo nimefika hapa mapema kwa ajili ya kupata supu na kwenda kwenye mihangaiko ya wekend na imani hiyo jion ya leo patakuwa hapatoshi..
best umefika??
namalizia kunywa kungu langu la comoro, naja!
......kweli "PICHA"...JamanJamani Party njema,
Natambua uwepo wa wana Dar Es Salaam.
Mturushie Picha zenu tu.
Wifey pitia hapa Calabash twende sote. Watatukomaaaajeee??namalizia kunywa kungu langu la comoro, naja!
Mkuu Nicas Mtei, USISAHAU KUJA NA WINE OPENER. hawa jamaa wakituazima yakwao watatu charge Cockage.................
mh nawatamanijeeeee????nipo kwenye folen hapa Ubungo. Natokea Chalinze kuchukua gongo.. Ntawakuta Brajec![]()
uje na yule mme wa jirani yako anayekujaga kuangalia mpira usiku ili nimfahamu
mh nawatamanijeeeee????
nipo kwenye folen hapa Ubungo. Natokea Chalinze kuchukua gongo.. Ntawakuta Brajec![]()
Wifey pitia hapa Calabash twende sote. Watatukomaaaajeee??