Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu wanavitoa hapo..alienda mmoja akaona ataonekanaMashujaa wanasali hapa wakiwa wamejipanga Kwa mstari usawa wa gori baada ya hapo wanatembea kwenda vyumbani ......
Mimi pia hili nalipinga.Huu mtindo naona kama haupo sawa. Yaani timu ipambane msimu mzima ishindwe halafu bado inapewa chance nyingine ya kusalia kwenye ligi? Kwa nini isingeshushwa moja kwa moja tu?
Hawa Azam nao mambo mengine sio lazima waonyesheMashujaa wanafukua vitu walivyoweka golini ili wahamishie goli lingine
Yah nimeona Kuna mmoja amekaa nje ya mwamba akiwa amebana ule mwamba huku yule wa Kwa ndani ya goli akifanya namna ......Kuna vitu wanavitoa hapo..alienda mmoja akaona ataonekana
Kwa Mjeshi?Mbeya city hawashuki daraja hii haikubaliki
Tuko pamoja mimi binafsi nna waombea sanaHuku kwetu Kigoma tunahitaji sana timu ya Ligi Kuu.
Mtuombee Leo tupate Timu na Sisi.
JWHivi hii timu ya raia au jw
Dk 34'
Kadi ya njano Kwa David mwasa ,namba mbili wa mbeya city amemlamba kiatu matata mchezaji wa mashujaa anaitwa Eliud anasumbua balaa
Ni kweli..ila wanaoelewa wakiona ni wachache kama nyie mliosoma CubaHawa Azam nao mambo mengine sio lazima waonyeshe