Sorry mkuuMna haribu uzi mkuu
Dakika kama ya ngapi kwa makadirio?Niko sokoine hapa 0 0 had sasa
Safi sana mkuu ππNiko sokoine hapa 0 0 had sasa
72Dakika kama ya ngapi kwa makadirio?
Waambie mbeya city wote na benchi lao la ufundi kwamba waache tabia ya kuuza mechi
Ujumbe umefikaWaambie mbeya city wote na benchi lao la ufundi kwamba waache tabia ya kuuza mechi
Mnnaenda kuleta uchawi kwenye ligi kuu,badala ya viwangoLeo migebuka italiwa sana huku kwetu baada ya timu yetu ya Taifa la Kigoma kupanda ligi kuu.
Zimebaki dk 10
Bangi za buku buku ni hatari kwa afya yakoMashujaa anapigwa kama kawaida
Vibuyu zinafanya kazi yakeπMashujaa nao kwa kudumisha mila hawajambo