financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Aah mimi ni wa Green city mkuu huko Tanga hata sipajuiπ€Kweli jamaa angekuwa na ngumi nzito, pambano lingeishia raundi ya kwanza.
Ukilinganisha na lile pambano jingine alilobebwa, hili ametawala round nyingi, na sababu sasa si ndo hiyo, ameonea dagaa...jamaa na miaka yake 38, angalia mapambano aliyopigana na kushinda ahahahah
Kwa mwandiko wako, wewe ni Tanga line
Nilisahau kuwa tunatumia ID fake na picha fake, si kuona hiyo sura nikafanya assumption kuwa X=YπAah mimi ni wa Green city mkuu huko Tanga hata sipajuiπ€
Wala hata si jina! Mtu wa Tanga huyo ila basi tu yuko vizuri acha wivu au unataka hadi aombe pambano na wewe udundwee ndiyo uamini yupo vizuri?πNilisahau kuwa tunatumia ID fake na picha fake, si kuona hiyo sura nikafanya assumption kuwa X=Yπ
Kwahiyo unalipambania jina sio? Mwa...π
Nitamdunda tu, sema bahati mbaya mimi nilijifunza magujuluu na mwalimu wangu huwa ananisifia kwa MBIO, ukianzisha tifu, utakuja kunisimulia mlivyomalizana...ubobevu wangu unatumika sehemu kama hizo sasaπ€ͺWala hata si jina! Mtu wa Tanga huyo ila basi tu yuko vizuri acha wivu au unataka hadi aombe pambano na wewe udundwee ndiyo uamini yupo vizuri?π
Unatoka speed kali πππ huo tunaita uoga kaa hapo maliza tifuπNitamdunda tu, sema bahati mbaya mimi nilijifunza magujuluu na mwalimu wangu huwa ananisifia kwa MBIO, ukianzisha tifu, utakuja kunisimulia mlivyomalizana...ubobevu wangu unatumika sehemu kama hizo sasaπ€ͺ
Thubutuu, ili iwe nini baadae? π Eti pointi ni kupigwa usoni, matatizo yanikute kwa bahati mbaya, nisiyatafute kabisaa.Unatoka speed kali πππ huo tunaita uoga kaa hapo maliza tifuπ
Uandishi wa habari na ngumi wapi na wapi, Nilijua tu atapigwa toka lini bwana Pascal Mayalla akadundana[emoji23]Kamchukue Mayala wako pale chini[emoji23][emoji23]
Sijaelewa mkuu hiyo ngumi moja imemzimisha au?Jongo kapigwa ngumi moja Tu dah
Alikuwa keshamchana mnigeria damu tupu
Mkuu huyo mwakinyo alimpiga Sam kwao uingereza kwa pambano alilotaarifiwa siku ngapi kabla?Mayala anaonewa kwa jicho la kibinadamu aisee. Ni nani aliyeandaa hili pambano? Nasikia Mayala alipewa short notice ya 12days, hii ndo mbinu ya Mwakinyo kujitutumua kuwa anajua? Au ndo mambo ya Floyd kuandaa pambano, kumlipa mpinzani kisha kushinda?
Sijashawishika bado, siku 12 kwaajili ya pambano na jamaa akakubali? Njaa nadhani, na bado Mwakinyo anahenya pamoja na kusema HAITAJI MANENO YETU YA FARAJA, na kwamba anamaliza pambano mapema kabisa, naona mzunguko wa 8 sasa.
Yap mpaka tumekeshaHivi huu mchezo nao umeanza kupewa attention hivi? [emoji23]
Sio huyu Mdau Wa Jf huyu ni Antonio Mayala, anatokea Angola.Uandishi wa habari na ngumi wapi na wapi, Nilijua tu atapigwa toka lini bwana Pascal Mayalla akadundana[emoji23]
Wanampamba Sana Ila Hana Uwezo kivile, Mtu sio division ya uzito Wako Ila unapelekeshwa Mpaka round ya 9 [emoji3526][emoji3526][emoji3526]Kwanini unatanguliza neno Kama? offcoz jana alijitahidi sana kupigana, japo sio kwa kiwango kile kikubwa.
Sema Mwakinyo aliturudishia matumaini kumbuka mapambano Matano Watz tulipoteza.Sijaelewa mkuu hiyo ngumi moja imemzimisha au?
Mkuu huyo mwakinyo alimpiga Sam kwao uingereza kwa pambano alilotaarifiwa siku ngapi kabla?
Kuna ajali kazini kakaWanampamba Sana Ila Hana Uwezo kivile, Mtu sio division ya uzito Wako Ila unapelekeshwa Mpaka round ya 9 [emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Ni kweli tofauti yao ilikuwa kg 3 tu.Wanampamba Sana Ila Hana Uwezo kivile, Mtu sio division ya uzito Wako Ila unapelekeshwa Mpaka round ya 9 [emoji3526][emoji3526][emoji3526]