Kila anayeliangalia goli la Sakho lililoshinda CAF anaona Visit Tanzania kwenye vifua vya miamba. We unaona jambo dogo hilo?Kwahiyo pasipo kuwepo kwa neno Tanzania, hayo uliyoyataja yasingefanikiwa?
Sasa ujinga upi,ujinga ni kumwalika mchezaji kwenye kampeni za uchaguzi, sasa cha ajabu nini si Simba ndio walifanya ujinga wa kumwalika,sasa kuliza leo ulio ujinga mliofanunya kipindi cha uchaguzi ndio kosa au.....Kwa ni lazima uandike ujinga. Kama jambo linakutatiza kaa kimya kuficha upumbavu wako sio kukenua kenua tu
Una leta nadharia kwenye uhalisia!!!!.. yanga haiwezi kutumika kunufaisha wizara iliyo na bajeti ya hayo maswala... Kama walitaka watangaziwe wangeweka mpunga, Rwanda sio wajinga kwenda kwa psg. Yanga sio Azam wala Namungo kwamba anahitaji kujibrand tena... Simba ingekuwa inaijua pesa isingekubali kupokea 150m per year kutangaza bidhaa za Mo wakati huo Mbet atoe 1B+ kwa mwaka 😅. Wajinga ndio waliwaoKwenye masuala ya branding, kila unachofanya lazima kishabihiane, mambo yako yakikinzana unafeli. Hauwezi kujiita "classic restaurant" halafu mteja akija anakuta sehemu yako imejaa inzi.
Kujiita timu ya wananchi kunaendana na matendo na si maneno tu.
Pia Yanga hana historia nzuri kumzidi Simba kwenye masuala ya kuijua pesa. Simba aliachana na SportPesa baada ya SP kutaka kuipa udhamini Simba unaofanana na wa Yanga wakati thamani ya timu hizi mbili haikuwa sawa.
Basi jifunzeni kwa wanaoijua pesa vizuri msikurupuke. Huku ground watu wanafanya sana kazi za bure kujenga mahusiano mazuri na watu ili fursa ikitokea ukumbukwe. Unadhani pesa ya Haier ndiyo itamaliza matatizo yenu huku mkiharibu mahusiano na aliyekuwa anawaweka mjini?Yanga inajua karaha ya kutembeza bakuli kwahiyo haitaki kurudi huko tena.
Kuna kampuni isiyohitaji kujibrand? Kama hadi nchi zinajibrand, isijekuwa choka mbaya kama taasisi ya Yanga? Unajua Yanga waliingia mkataba na kampuni ya marketing mwaka jana, unajua kazi yao ni nini?Una leta nadharia kwenye uhalisia!!!!.. yanga haiwezi kutumika kunufaisha wizara iliyo na bajeti ya hayo maswala... Kama walitaka watangaziwe wangeweka mpunga, Rwanda sio wajinga kwenda kwa psg. Yanga sio Azam wala Namungo kwamba anahitaji kujibrand tena... Simba ingekuwa inaijua pesa isingekubali kupokea 150m per year kutangaza bidhaa za Mo wakati huo Mbet atoe 1B+ kwa mwaka 😅. Wajinga ndio waliwao
Yanga haiwezi kujibrand kupitia kuvaa jezi ya visit Tz ni kwa kufanya vizuri uwanjani na usajiri Bora.. vyote hivyo vinahitaji pesa. Tanzania itatoa pesa kujitangaza kupitia wizara yake msilazimishe mnachokifanya nyie na wengine wakifanye😅..Kuna kampuni isiyohitaji kujibrand? Kama hadi nchi zinajibrand, isijekuwa choka mbaya kama taasisi ya Yanga? Unajua Yanga waliingia mkataba na kampuni ya branding mwaka jana?
Sijui hata nacheka kitu ganiView attachment 2509707
Hakuna aliyelazimishwa ila leo mmelipa kwa makosa yenu. Wenzako wanaojua wanatambua hilo. Wewe unadhani kwa nini ile barua yenu waliamua kutoa maelezo wakati tumekataza kujieleza sana.Yanga haiwezi kujibrand kupitia kuvaa jezi ya visit Tz ni kwa kufanya vizuri uwanjani na usajiri Bora.. vyote hivyo vinahitaji pesa. Tanzania itatoa pesa kuimjitangaza kupitia wizara yake msilazimishe mnachokifanya nyie na wengine wakifanye😅..
Yanga ishapiga mpunga nyie katangazeni visit Tz 🤣🤣, huu ni ulimwengu wa kibepari hakuna free plate asee!!.Hakuna aliyelazimishwa ila leo mmelipa kwa makosa yenu. Wenzako wanaojua wanatambua hilo. Wewe unadhani kwa nini ile barua yenu waliamua kutoa maelezo wakati tumekataza kujieleza sana.
Na wale mamodel mliwatoa wapi, yaani nyie mnachekeshaga sana. Nashukuru leo Simba hawajafanya upuuzi ule. Mna mengi ya kujifunza ndugu zangu.Yanga ishapiga mpunga nyie katangazeni visit Tz 🤣🤣, huu ni ulimwengu wa kibepari hakuna free plate asee!!.
Tujifunze kutangaza bidhaa za Mo kwa mwaka 150M?Na wale mamodel mliwatoa wapi, yaani nyie mnachekeshaga sana. Nashukuru leo Simba hawajafanya upuuzi ule. Mna mengi ya kujifunza ndugu zangu.
Ana tuangusha sana ..Mmechoka kuvaa madekio eeeh[emoji23][emoji23]
African carriers ndio nini?kumbe simba walishaachana na african carriers?....
basi ule mgogoro wa bus inawezekana kweli ulikuwepo, maana siioni logo ya african carriers hapo
Ishu sio Simba, m bet ndio kawabana maana kalipa kifuaTunaishi nchi ya kibepari na mpira ni biashara. Inashangaza sana kuona watu wanatetea vilabu vitangaze utalii for free wakati huo huo vyenyewe vinalipishwa gharama kubwa kwenye kutumia viwanja vya uma ukiwemo uwanja wa taifa.
Halafu serikali hii imetenga bajeti, Kuna billions of money zipo kwa ajili ya kuutangaza utalii, Tunaona viwanja mbalimbali Ulaya utalii wa Tanzania ukitangazwa, hivi mnajua ni mabilioni mangapi serikali yetu inatoa huko? Kwanini msiyapate nyinyi?
Wapumbavu fulani wanaojifanya wazalendo uchwara
utawasikia eti tunatangaza utalii for free[emoji848]
Yaani hii klabu ya masikini ambayo hata bajeti yake tu kwa mwaka mmoja haijitoshelezi paka inakopeshwa fedha na mwekezaji ili iweze kujiendesha eti nao wanajitokeza kutangaza utalii bule[emoji848][emoji848] Utalii wa nyoko[emoji2959][emoji2959][emoji2959]
Hayo mapato yatokanayo na watalii yanainufaishaje nchi? Ninyi ndio mnaowasaidia hawa watawala wa CCM waendelee kuinyonya hii nchi!!!! bladfakeni
Nazikubali sana hoja zako ila likijitokeza suala la simba na yanga tu sijui unapatwaga na nini akiliniKwenye barua gani?
Ile press release yao?
Mbona mle ndio wameharibu kabisa kwa kutilia mkazo kuwa maamuzi yao ya kuikataa Visit Tanzania haikuwa bahati mbaya bali walimaanisha
[emoji23][emoji23][emoji23]Sijui hata nacheka kitu ganiView attachment 2509707