Live Updates: Yanga SC Vs Mtibwa Sukari,B.Mkapa Stadium

Live Updates: Yanga SC Vs Mtibwa Sukari,B.Mkapa Stadium

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20210220_143721162909.jpg


Tutakuletea updates za maana hapahapa JF hapo saa 1.

Mungu ibariki Mtibwa Sukari
 
yanga leo anashinda hii mechi dhidi ya mtibwa kwa sababu ifuatayo;
• Kutaka Kuwatishia Waamuzi ( hasa huyu wa leo dhidi ya Mtibwa FC ) awaogope na awapendelee ili washinde Mechi yao.
 
Kila la kheri Mtibwa sukari, leo kuna dalili za timu kujitoa huku kiwa inaongoza ligi.
 
Chama la Morogoro na Mandhari ya Uluguru Mountain, wadogo zangu Hassan Kessy, Hilka na Chanongo chakazeni hao Vyurra kesho tuone Press ya Mtu Mzima kusasambua!
 
Mfungwe na leo ili mjitoe kwenye ligi kama mlimbende wenu alivyosema.
wapi yanga alisema akifungwa anajitoa

alilalamika maamuzi mabovu ya waamuzi na sio akifungwa anajitoa

yanga akijitoa radha itaisha mbio za T.K Master utaziona wapi?
 
Back
Top Bottom