OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuonyesha Yanga timu ya Aina gani inaweza kuwa reflected na matokeo ya KMC na Kagera sugar walivyotokaView attachment 1707296
Tutakuletea updates za maana hapahapa JF hapo saa 1.
Mungu ibariki Mtibwa Sukari
No way anafungwa siku hizi mtibwa imekuwa timu ya kawaida sn muda huu wanakwepa danger zoneHakika Mtibwa aitotuangusha sisi mashabiki wake.
wapi yanga alisema akifungwa anajitoaMfungwe na leo ili mjitoe kwenye ligi kama mlimbende wenu alivyosema.
Leo naona kama kuna beki wa Mtibwa atajifunga goli. Nawaza tuChama la Morogoro na Mandhari ya Uluguru Mountain, wadogo zangu Hassan Kessy, Hilka na Chanongo chakazeni hao Vyurra kesho tuone Press ya Mtu Mzima kusasambua!