Duh,hatari hapa naona.
Naiminya apa.
Mshaanza visingizio.Mshika kibendera upande was goli la Yanga anaenda kinyume Na refa wa kati.
Pumbu ya Uto.Unaminya nini mkuu
Wa Mtibwa alichezewa rafu clear,Mpira ukaenda nje. Mshika kibendera akasema Mtibwa mmetoa,Yanga rusheni. Refa akasema hapana,Mtibwa pigeni faulo,of which alikuwa sahihiMshaanza visingizio.
[emoji196]163' Yanga 0-0 Mtibwa
maombi yako yamesikilizwaHawa mtibwa kama vp wapigwe tu, unakosaje goal la waz hivi
[emoji196]1Ngapngap huko