1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Wakijitoa na sisi tunajitoa ili tukakutane hukohukoMfungwe na leo ili mjitoe kwenye ligi kama mlimbende wenu alivyosema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakijitoa na sisi tunajitoa ili tukakutane hukohukoMfungwe na leo ili mjitoe kwenye ligi kama mlimbende wenu alivyosema.
umeanza ulozi wako,hawatoboi hapaKimoko cha mauzi
Mtibwa ni wazuri kwenye Defence kwa upande wa Attacking force mpaka sasa wan Goli 9 tu za kufunga hawapo vizuri kwenye Attacking.Hawa mtibwa kwenye attacking mbona wamepoa sana
sisi tunahitaji droo tu toka kwaoMtibwa ni wazuri kwenye Defence kwa upande wa Attacking force mpaka sasa wan Goli 9 tu za kufunga hawapo vizuri kwenye Attacking.
Weka dau[emoji196]umeanza ulozi wako,hawatoboi hapa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji196][emoji196][emoji196]watalazwa kimojaMapumziko.
Naiachia pumbu niliyobana kwa Uto wasifunge ipumue kidoogo kwa muda.
Aminia.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji196][emoji196][emoji196]watalazwa kimoja
wamenyimwa na shoot on target 4Wamenyimwa penati tena
[emoji196]
tunashinda mechi hiiWeka dau[emoji196]
Umejitokeza...? Vyura karibu wote wame disappeartunashinda mechi hii
Yaani!!!Kimoko cha mauzi
mechi rahisi sana hii mkuu japo ina pressure kdgUmejitokeza...? Vyura karibu wote wame disappear
Kumbe ndio maana, basi watafute hata faul karibu na 18Mtibwa ni wazuri kwenye Defence kwa upande wa Attacking force mpaka sasa wan Goli 9 tu za kufunga hawapo vizuri kwenye Attacking.