LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

Hiz timu zetu wanacheza wao kisha wanafungwa goli jepesi
 
Okwiiiiiiiii.....kiizaaaa konaa hatari hapa
 
Hizi hatari kwenye lango la waarabu badae yanga wasije jutia.....
 
Watu wakihamishia ushabiki timu za Ulaya wanaambiwa ukolon haujawatoka, Yanga walaaniwe kwa kuzuia matangazo ya tv. Nangoja mechi ya Stoke City. Mfungwe kuanzia goli 3
 
Aboutrika yupo?mi nataka hawa yanga leo wapigwe 8
Hawa waarabu sio jadi yao kushinda mengi ugenini hapa wanatafuta draw au kufungwa bao chache..., ukienda kwao ndio idadi ya magoli kama sio arbaa basi ni khamsa
 
Watu wakihamishia ushabiki timu za Ulaya wanaambiwa ukolon haujawatoka, Yanga walaaniwe kwa kuzuia matangazo ya tv. Nangoja mechi ya Stoke City. Mfungwe kuanzia goli 3
shukuru tu mkuu kuna jf utapata matokeo..

Dk 33 yanga 0 - 0 al ahly
 
Kuna mchezaji anaitwa Gamal....sina imani nae!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…