Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,098
- 631
- Thread starter
- #201
Dk ya 30 bado hakuna goli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tunawalia timing mkuu!watalia muda si mrefu!Yanga mbona wanawachelewesha hawa waarabu?
wakikaza wataweza..haya tunawasubiri na ninyi muwaduwaze waarabu.
lete update usitafute mtu kula ban hapa!acha umbea mtoto wa kiume..
Mkuu nimezimiss zile pct zako unazo Update lakini sikuhizi naona umesusu kuzitupia.
ikipigwa kaunta mtalia sana waambie kina kiiza wafunge mapema khaaa...Dk ya 30 bado hakuna goli...
Hawa waarabu sio jadi yao kushinda mengi ugenini hapa wanatafuta draw au kufungwa bao chache..., ukienda kwao ndio idadi ya magoli kama sio arbaa basi ni khamsaAboutrika yupo?mi nataka hawa yanga leo wapigwe 8
shukuru tu mkuu kuna jf utapata matokeo..Watu wakihamishia ushabiki timu za Ulaya wanaambiwa ukolon haujawatoka, Yanga walaaniwe kwa kuzuia matangazo ya tv. Nangoja mechi ya Stoke City. Mfungwe kuanzia goli 3
Okwiiiiiiiii.....kiizaaaa konaa hatari hapa
yanga wanakosakosa tu hapa...bado tu...?
kipindi cha pili kinakuja kuimaliza yanga walitakiwa wapate japo hata goli moja..Bado dk 8, kuwa half time.