LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

LIVE UPDATES : Yanga (Tanzania) Vs Al ahly (Misri),

All the best Yanga lakini ni mpaka mpira uchezwe siwawekie dhamana hawa yanga wanaweza kushindwa kutupa raha leo
 
duuu ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano lakini sio yanga kushinda mechi hiiii.

'WEWE WASEMA' mwisho wa kumnukuu Yesu au Nabii Issa, alikuwa hapendi mabishano kwa kweli ukiongea pumba anakupa jibu hilo tu anaendelea na mambo yake.
 
Yanga kwanza,Simba baadae!
WATANZANIA WOTE TUWEKE ITIKADI, DINI NA VYAMA VYETU PEMBENI TUUNGANE KWA PAMOJA KUIOMBEA NA KUIPA YANGA SAPOTI SIKU YA LEO INAPOPAMBANA NA AL HALY! MIMI BINAFSI NITAKUWA UWANJANI NA JEZI YANGU NYEKUNDU YA SIMBA NIKIWASHANGILIA DAR YOUNG AFRICANS KUONYESHA UZALENDO KWA TIMU HII YA TANZANIA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI DAR YOUNG AFRICANS Makoye Matale, watu8
 

Attachments

  • VIP TIKETI.jpg
    VIP TIKETI.jpg
    44.8 KB · Views: 173
Last edited by a moderator:
Leo mtoto hatumwi dukani, Natamani kikosi cha Yanga (Tanzania) kiwe hivi: Na wewe unaweza kupendekeza
kiwe vipi, haya ni mawazo yangu:

1. Deogratius Mushi
2. Nadir Haroub
3. Oscar Joshua
4. Mbuyu Twite
5. Kelvin Yondan
6. Frank Domayo
7. Athumani Idd
8. Haruna Niyonzima
9. Didier Kavumbagu
10. Emanuel Okwi
11. Mrisho Ngassa

SUB:
1.Tegete,
2.Simon Msuva
3.Juma Kaseja
4.
5.
Mushinde mukifungwa hanihusu.
 
WATANZANIA WOTE TUWEKE ITIKADI, DINI NA VYAMA VYETU PEMBENI TUUNGANE KWA PAMOJA KUIOMBEA NA KUIPA YANGA SAPOTI SIKU YA LEO INAPOPAMBANA NA AL HALY! MIMI BINAFSI NITAKUWA UWANJANI NA JEZI YANGU NYEKUNDU YA SIMBA NIKIWASHANGILIA DAR YOUNG AFRICANS KUONYESHA UZALENDO KWA TIMU HII YA TANZANIA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI DAR YOUNG AFRICANS Makoye Matale, watu8
Tatizo haojamaa wakishinda patakua hapakaliki watajiona tayari washachukua ubingwa na wanauwezo wakucheza hata na Real Madrid. Ili niwaunge mkono kwanza waahidi hawatajisifu na kutusumbua kwa makelele yao humu, lasivyo "Wabigwe" tu.
 
Last edited by a moderator:
WATANZANIA WOTE TUWEKE ITIKADI, DINI NA VYAMA VYETU PEMBENI TUUNGANE KWA PAMOJA KUIOMBEA NA KUIPA YANGA SAPOTI SIKU YA LEO INAPOPAMBANA NA AL HALY! MIMI BINAFSI NITAKUWA UWANJANI NA JEZI YANGU NYEKUNDU YA SIMBA NIKIWASHANGILIA DAR YOUNG AFRICANS KUONYESHA UZALENDO KWA TIMU HII YA TANZANIA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI DAR YOUNG AFRICANS Makoye Matale, watu8

Huo ndio uzalendo mkuu...Leo hata Mbeya City wako Yanga.
 
Last edited by a moderator:
Kila la kheri Waarabu,funga Kandambili aka Yeboyebo
""""""TeamSimba""""
 
Wazee wa kubeti, leo wekeni mzigo wa kutosha kwa Yanga!
 
Nishang'aaa na uzi wangu apa nasubiria mwarabu ale
Nakushauri ndugu yangu beba shati lengine la akiba. Ikitokea mumepasuka dungu 5 unavua huo uzi wako wa nzi wa chooni unatia ndani ya mfuko wa Rambo kisha unatoa shati lako unalitinga, taratibu unarejea nyumani. Lasivyo utarudi na haibu.
 
YANGA ana alergy na nyekundu. Warab piga hao tumechoka maneno mtaani
Kuna kiumbe kinaitwa MANDIETA hakichelewagi kuja na madebe humu,sasa bora wapasuke atafute pakwenda kupigia kelele na madebe yake.
 
Nakushauri ndugu yangu beba shati lengine la akiba. Ikitokea mumepasuka dungu 5 unavua huo uzi wako wa nzi wa chooni unatia ndani ya mfuko wa Rambo kisha unatoa shati lako unalitinga, taratibu unarejea nyumani. Lasivyo utarudi na haibu.

Yanga si kama simba koko mkuu.
 
Back
Top Bottom