Live Updates: Yanga Vs Namungo FC (VPL)

Live Updates: Yanga Vs Namungo FC (VPL)

Nimeangalia mpira leo kwajicho la 3 ila Yanga wanakazi yakufanya....kuanzia dakika ya 1 mpaka mpira unaisha unaona approach yao ni mipira mirefu basi ambayo ndio plan A imegoma mapema tu ila wakaendelea kuikomalia.....kibaya zaidi mipira mirefu yenyewe upigaji ni shida kabisa hawawezi piga mipira mirefu yenye kuleta madhara., Niyonzima yupo vizuri kwenye long balls muda mwingine ni kumtumia anashuka kidogo chini anakuwa anaisambaza then anapanda....

Katika umiliki wa mpira Yanga wapo vibaya yani mchezaji anamiliki mpira anajichanganya mwenyewe hadi ananyang'anywa na adui......

Decision making kwa kikosi cha Yanga bado shida yani, Wachezaji wengi kama sio wote wanashindwa kufanya maamuzi kwa wakati sahihi, unaona mchezaji kama anataka piga pasi anasita anakuja kuporwa mpira na adui

Hata issue ya kocha nae naona anamatatizo na benchi lake la ufundi, timu inatumia nguvu nyingi kuliko akili, sijaona one two zenye kuvutia, sijaona triangle,sijaona polygon sijaona square sijaona kabisa tactic za kocha.....hauwezi funga timu kwa urahisi bila kiwa vizuri kwenye kutumia hesabu za miraba,pembetatu na nyingine kwenye kuandaa shambulizi na kushambulia.....
 
Ngoja nicheki msimamo wa ligi mana shida yangu namungo awe wa tatu.. bingwa na mshindi wa pili hilo sina shaka nalo
 
Nimeangalia mpira leo kwajicho la 3 ila Yanga wanakazi yakufanya....kuanzia dakika ya 1 mpaka mpira unaisha unaona approach yao ni mipira mirefu basi ambayo ndio plan A imegoma mapema tu ila wakaendelea kuikomalia.....kibaya zaidi mipira mirefu yenyewe upigaji ni shida kabisa hawawezi piga mipira mirefu yenye kuleta madhara., Niyonzima yupo vizuri kwenye long balls muda mwingine ni kumtumia anashuka kidogo chini anakuwa anaisambaza then anapanda....

Katika umiliki wa mpira Yanga wapo vibaya yani mchezaji anamiliki mpira anajichanganya mwenyewe hadi ananyang'anywa na adui......

Decision making kwa kikosi cha Yanga bado shida yani, Wachezaji wengi kama sio wote wanashindwa kufanya maamuzi kwa wakati sahihi, unaona mchezaji kama anataka piga pasi anasita anakuja kuporwa mpira na adui

Hata issue ya kocha nae naona anamatatizo na benchi lake la ufundi, timu inatumia nguvu nyingi kuliko akili, sijaona one two zenye kuvutia, sijaona triangle,sijaona polygon sijaona square sijaona kabisa tactic za kocha.....hauwezi funga timu kwa urahisi bila kiwa vizuri kwenye kutumia hesabu za miraba,pembetatu na nyingine kwenye kuandaa shambulizi na kushambulia.....
Umechambua utumbo mtupu
 
Nimeangalia mpira leo kwajicho la 3 ila Yanga wanakazi yakufanya....kuanzia dakika ya 1 mpaka mpira unaisha unaona approach yao ni mipira mirefu basi ambayo ndio plan A imegoma mapema tu ila wakaendelea kuikomalia.....kibaya zaidi mipira mirefu yenyewe upigaji ni shida kabisa hawawezi piga mipira mirefu yenye kuleta madhara., Niyonzima yupo vizuri kwenye long balls muda mwingine ni kumtumia anashuka kidogo chini anakuwa anaisambaza then anapanda....

Katika umiliki wa mpira Yanga wapo vibaya yani mchezaji anamiliki mpira anajichanganya mwenyewe hadi ananyang'anywa na adui......

Decision making kwa kikosi cha Yanga bado shida yani, Wachezaji wengi kama sio wote wanashindwa kufanya maamuzi kwa wakati sahihi, unaona mchezaji kama anataka piga pasi anasita anakuja kuporwa mpira na adui

Hata issue ya kocha nae naona anamatatizo na benchi lake la ufundi, timu inatumia nguvu nyingi kuliko akili, sijaona one two zenye kuvutia, sijaona triangle,sijaona polygon sijaona square sijaona kabisa tactic za kocha.....hauwezi funga timu kwa urahisi bila kiwa vizuri kwenye kutumia hesabu za miraba,pembetatu na nyingine kwenye kuandaa shambulizi na kushambulia.....
Clear chances first half wamepata 7 saa hizi unaleta uchambuzi mbuzi,ndiyo maana mkikutana nao mnagongwa
 
Back
Top Bottom