Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna jipya umeona hapo ulichosema mwanzo sturidge kawanyamazisha umeona uje na kengine Nzi kakae kwenye it Mamatits United.
Rogers simchukii ni manager Mzuri ila Leo kachemsha angeweka majembe nyuma Sakho na Cichoko na Lucas alikuwa Better player kamtoa Glenn Johnson Leo ndio Poor player wetu. Everton ndio ilikuwa timu ya kushinda bila kipa wetu MAn of the match hili kosa akilirudie teeeeeeeeena wangekuwepo hao juu na mbolea 2 Striker Everton tungewamaliza zamani. Everton wananishangaza wakicheza na LFC na UNited wanapania ila Arsenal wanapigwa hata 6. Mourinho anafurahi kawapa Lukaku sababu za kuuwa timu ambazo anajuwa zitakuwa juu ya Chelsea, mnaweza kusema katupa Moses ila Moses mtu huna uhakika atacheza vizuri au la Lukaku lazima atacheza vizuri kumuhakikishia Kama apewe number Chelsea.
Man City ya Sunderland FC? Thubutu.Na hii Scums inayochezea kichapo pale Old Toilet? Mwaka huu mgumu sana kwenuSoda unapoifungua mara ya kwanza ama mwanzoni inakuwa tamu kutokana na nguvu ya gesi. Gesi ikiisha tu basi, ndiyo sawa na hawa jamaa. Mwanzoni kelele na mipira mirefu kwa wiiiiiiiiingi huku wakiongoza ligi wakati wenzao wako bize na ligi za mabingwa. Wenzao wakijipanga kuchukua ubingwa May unakuta ile timu ya nguvu ya soda iko nyuma point 30 au zaidi. Sasa unabaki kujiuliza, hivi hii timu si ndiyo ile iliyokuwa inapiga kelele za gesi? Leo wameponea chupu chupu, lakini outcome yao ya kumaliza ligi mwaka huu inaanza kuonekana sasa November. Come May utaona watu wako nyuma point 30 ya Man Utd. au City.
Man City ya Sunderland FC? Thubutu.Na hii Scums inayochezea kichapo pale Old Toilet? Mwaka huu mgumu sana kwenu
Bado 'set pieces' zinatushinda kabisa. Mechi nyingi tunapoteza kwa kushindwa kukaba mipira ya kona na free kicks..
Tunahitaji defensive midfielder zaidi ya Lucas na pia playmaker kama backup ya Countinho.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Huyu Moses anaanguka tu Leo listi bomu na wachezaji hakuna anayecheza sitoshangaa kupiga 2 au Suarez Leo kuleta jengine la ajabu utumbo tu sijui wamekula nini Jana.
Hull City has made history. For the first, they have beaten Liverpool at Kingston Communication Stadium. Mbu poleni.
....Guys, YOU WILL NEVER WALK ALONE... hebu iendelezeni thread yenu, duh, mmeuchuna as if hamuongozi league? au hamjiamini amini?
haya.... nitarudi tena humu mpaka mzoee!!!