Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Dogo ni kiungo mzuri ila naona tatizo lake kubwa ni nguvu na mara nyingi amekuwa majeruhi, kuziba pengo la ALONSO kwa sasa kazi anayo
Hao Chelsea kuondoka kwa Hiddink ni tatizo kwani wachezaji tayari walishaanza kuzoea mchezo wake
Nashukuru Mungu wote tumejeruhiwa so wote kibarua tunacho
Hao Chelsea kuondoka kwa Hiddink ni tatizo kwani wachezaji tayari walishaanza kuzoea mchezo wake
Nashukuru Mungu wote tumejeruhiwa so wote kibarua tunacho