Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watakuja kwenye jukwaa hili pindi Liverpool akiifunga Manchester United.
Haya ngwe ya pili hiyo.
penalty for loserfool
huyu voronin mngewauza hata burnley akawasaidie kule manake hamumuitaji
babel over benayoun ndio imewaangusha mkuu sema kocha lenu linajifanya linajua sana.Kwanza kabisa nakupongeza bwana Mr. Bean aka AW; pili naomba niseme ukweli kwamba hata hata ka whisky hakaendi vyema
thirdly, its a good ome for us to lose game one!!! just wait and see, today we had three patients from casualty [Carra, Skertel, Gerrard] and one teenager looking for some girls [Ayala]
Stiill strong though
Mkamia maji. waliingia na mentali ya 4 x 4 x 3poits. Rafa akakune kichwa sasa
Watani poleni, maana dah mlinitibua sana wakati tunacheza na B-ham kuna mijitu ilikuwa inazungumza sana uchafu. Milioni nane ya Bassong imelipa leo.
si ulimnunua johnson mkuu.mnamwaga hela sana.alafu nyie wavumilivu kweli yani mmelipa hela zote zile kwa aquilani wakati ana injury ya miezi miwili.Yani ni bora tungemnunua BAssong maana naona tuna wodi ya wagonjwa pale kwetu kuanzia Agger, Skertel hadi Carra
YNWA
babel over benayoun ndio imewaangusha mkuu sema kocha lenu linajifanya linajua sana.
si ulimnunua johnson mkuu.mnamwaga hela sana.alafu nyie wavumilivu kweli yani mmelipa hela zote zile kwa aquilani wakati ana injury ya miezi miwili.
true na ndio maana hatujammisi Arbeloa, its all about injuries and fitness no complaints except nursing some patients in the ward with Aquillani on room one of the ward!!! lets see after five games
Ila ndio bikra ishatoka aise
wakati nipo njiani baada ya game ya Liver kuisha nilikuwa nakukumbuka sana Mkuu MTM maana najua leo lazima umejitetea sana hahaha..anyway its just a game
Thanks Man, yaani hata ka-whisky hakakuwa katamu... anyway Usain Bolt made my day with a 9.58 world record!!!
Ukisikia baba wa taifa hana kauli basi ndiyemimi leo
...naaaaaaam, mambo yameanza...na tunaongoza ligi! 😀
...naaaaaaam, mambo yameanza...na tunaongoza ligi! 😀