...dah, jamaa umewakomalia majeruhi wa wenzako...VIDIC naye atakuwa nje kwa muda gani? 😀
Vidic, Van der Sar, Neville wote majeruhi.
Kumkosa VIDIC ni big loss but jamaa sio injury prone kama Hargreves,Rosisky & Aquilan...dah, jamaa umewakomalia majeruhi wa wenzako...VIDIC naye atakuwa nje kwa muda gani? 😀
Kumkosa VIDIC ni big loss but jamaa sio injury prone kama Hargreves,Rosisky & Aquilan
...MTM upo? Quemu umeadimika bro! mukulu FMES je? ...EPL ndio ishaanza hii,...'hamadi' kibindoni jana -washika bunduki- tushawekeza!
Belo, umemsahau Rio hapo kwenye listi ya majeruhi sugu!...anyway, Manure mna thead yenu, hapa pana wenyewe!
...MTM upo? Quemu umeadimika bro! mukulu FMES je? ...EPL ndio ishaanza hii,...'hamadi' kibindoni jana -washika bunduki- tushawekeza!
Belo, umemsahau Rio hapo kwenye listi ya majeruhi sugu!...anyway, Manure mna thead yenu, hapa pana wenyewe!
Mosquito!!!
Ya jana nimeona.... you had a good game "indeed", ingawaje sina hakika kama it was all about Arses, i though Everton hawakuwa tayari kabisa na premier
Bambie hao ......hasa Belo....anachongaga sana kule kny thread yetu utadhani hana thread yake...ha!ha!ha!
tuangalie tuone itakuwaje maaana naona hawa totenham kama wametumwa...hahaha game ndio kwanza mbichi
Duu ebwana kuna collision ya hatari Carragher na Skrtel hope watakuwa fine
Game ni nzuri sana mpk sasa ni bila bila ila Liver wanapumulia mashine mshukuru sana Keane miguu yake haina akili leo
Damn You Liverpool........ How do we concede such goals, we played utterly shit!! Just like Manure
Ebo!! yani bila kuitaja Man U siku haiendi enh? Huyo Robbie Keane naona anawalostisha wenzake. Na huyo Babel naye its high time akalive up to his potential.
...MTM upo? Quemu umeadimika bro! mukulu FMES je? ...EPL ndio ishaanza hii,...'hamadi' kibindoni jana -washika bunduki- tushawekeza!
Belo, umemsahau Rio hapo kwenye listi ya majeruhi sugu!...anyway, Manure mna thead yenu, hapa pana wenyewe!