LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,483
- 3,369
Game yetu na Man city ndio naweza nikajipa uhakika wa kombe.Ila kwa sasa,naipongeza timu kwa kusaka point tatu kwa udi na uvumba.
"Nlikuwepo":bolt:
View attachment 148049
Let's move on
REDS....!
Mkuu kama kuna uwezekano tupia picha nyingi zaidi...yaani furaha niliyonayo natamani nilale hapahapa " thredini"!!!
Guys am extremely happy... nhobwike fijo!!!
YNWA..!
Waleteni hao Chelsick....
CC Ntuzu
Naunga hoja mkuu! Leage bado ngumu! Tujifunze kwa Arsenal.
Hawa waache..mimi tangia nimezaliwa Liverpool haijawahi chukua ubingwa..alafu wanasema eti tuna kelele?
well, sasa kelele watapiga nani? si sisi mashabiki.
Everybody knows we deserve this trophy.
Sherrif
Tumeshajizoelea maumivu toka 1990!
Kelele zitoke wapi?
Hatujali kama timu yetu imekaa na itaendelea kukaa museum for the next 30 years. Once a kop always a kop.
Wengine maumivu ya mwaka, miaka 7 yanawatesa.
Hapo ukizingatia sisi ni maskini na pesa hatuna wengine mpaka mmwage mapesa ama muwa-intimidate marefa ndio mshinde.
Plastic fans ndio mna matatizo. Tumeshajizoelea maumivu since 1990 na tutaendelea kuyazoea hata kama ni miaka 100 ijayo. Tuachieni chama letu. We know iko siku the old days of glory will once again come back to Anfield.
Sherrif Arpaio.....a long time proud Kop!
Ynwa
Nina uhakika WestHam tunamfunga,ila na Man city itakuwa ngumu kidogo.Ila kwakuwa tunacheza home,lazima tuforce ushindi.
"Nlikuwepo":bolt:
Sherrif
Tumeshajizoelea maumivu toka 1990!
Kelele zitoke wapi?
Hatujali kama timu yetu imekaa na itaendelea kukaa museum for the next 30 years. Once a kop always a kop.
Wengine maumivu ya mwaka, miaka 7 yanawatesa.
Hapo ukizingatia sisi ni maskini na pesa hatuna wengine mpaka mmwage mapesa ama muwa-intimidate marefa ndio mshinde.
Plastic fans ndio mna matatizo. Tumeshajizoelea maumivu since 1990 na tutaendelea kuyazoea hata kama ni miaka 100 ijayo. Tuachieni chama letu. We know iko siku the old days of glory will once again come back to Anfield.
Sherrif Arpaio.....a long time proud Kop!
Ynwa
Inaelekea ligi ya mwaka huu inaweza kuwa substituting Manchester United for Liverpool. Anyway, nawaombea mlichukuwe kuliko Sugar daddy running teams. Na SG amalize career akiwa na medal, uloyal wake uzae matunda.
Haya kaka kila la heri mwaka huu na nyie mtoke