Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game yetu na Man city ndio naweza nikajipa uhakika wa kombe.Ila kwa sasa,naipongeza timu kwa kusaka point tatu kwa udi na uvumba.

"Nlikuwepo":bolt:


Naunga hoja mkuu! Leage bado ngumu! Tujifunze kwa Arsenal.
 
View attachment 148049

Let's move on
REDS....!

Mkuu kama kuna uwezekano tupia picha nyingi zaidi...yaani furaha niliyonayo natamani nilale hapahapa " thredini"!!!

Guys am extremely happy... nhobwike fijo!!!


YNWA..!

Waleteni hao Chelsick....

CC Ntuzu

Yaani leo nimefurahi sana...sana...sana!
Kama unaweza mkuu tupia mapicha mengi kadri ya kiu yetu...LiverpoolFC hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeee....

Am extremely happy... Nhobwike fijho!
YNWA...!
 
Last edited by a moderator:
Hawa waache..mimi tangia nimezaliwa Liverpool haijawahi chukua ubingwa..alafu wanasema eti tuna kelele?

well, sasa kelele watapiga nani? si sisi mashabiki.

Everybody knows we deserve this trophy.


Kwa kweli sijui wanatakaje! Tangu nijue timu za majuu sijawahi shabikia tofauti na Liverpool Football Club.
Nenda Liverpool Fc chanja mbuga!

Natamani hii mechi ya tar 13 march iwe ndiyo ya kuwaadabisha hawa wajinga.
Lazima tufurahie ushindi!
 
Inaelekea ligi ya mwaka huu inaweza kuwa substituting Manchester United for Liverpool. Anyway, nawaombea mlichukuwe kuliko Sugar daddy running teams. Na SG amalize career akiwa na medal, uloyal wake uzae matunda.
 
Sherrif

Tumeshajizoelea maumivu toka 1990!
Kelele zitoke wapi?
Hatujali kama timu yetu imekaa na itaendelea kukaa museum for the next 30 years. Once a kop always a kop.
Wengine maumivu ya mwaka, miaka 7 yanawatesa.
Hapo ukizingatia sisi ni maskini na pesa hatuna wengine mpaka mmwage mapesa ama muwa-intimidate marefa ndio mshinde.
Plastic fans ndio mna matatizo. Tumeshajizoelea maumivu since 1990 na tutaendelea kuyazoea hata kama ni miaka 100 ijayo. Tuachieni chama letu. We know iko siku the old days of glory will once again come back to Anfield.
Sherrif Arpaio.....a long time proud Kop!
Ynwa

Hahahaha, ati "tuachieni chama letu!" 🙂

Mkuu, hawa jamaa wamenisumbua sana niongezee manjonjo kwenye hii sredi eti na picha niwawekee khaa!?

Haya bana, TIMING bado ka mute?!
YNWA


#MosKwito !
 
Last edited by a moderator:
Nina uhakika WestHam tunamfunga,ila na Man city itakuwa ngumu kidogo.Ila kwakuwa tunacheza home,lazima tuforce ushindi.

"Nlikuwepo":bolt:


Ukumbuke kbs ya kwmb ushindi ule wa Man Cty walibebwa kabisa!
Watajuta kuja Anfield.
Raheem Sterling hatawaacha!
 
1604553_10152363778802853_807512590_n.jpg


Youll never walk alone...!
 
Sherrif

Tumeshajizoelea maumivu toka 1990!
Kelele zitoke wapi?
Hatujali kama timu yetu imekaa na itaendelea kukaa museum for the next 30 years. Once a kop always a kop.
Wengine maumivu ya mwaka, miaka 7 yanawatesa.
Hapo ukizingatia sisi ni maskini na pesa hatuna wengine mpaka mmwage mapesa ama muwa-intimidate marefa ndio mshinde.
Plastic fans ndio mna matatizo. Tumeshajizoelea maumivu since 1990 na tutaendelea kuyazoea hata kama ni miaka 100 ijayo. Tuachieni chama letu. We know iko siku the old days of glory will once again come back to Anfield.
Sherrif Arpaio.....a long time proud Kop!
Ynwa

Haya kaka kila la heri mwaka huu na nyie mtoke
 
Inaelekea ligi ya mwaka huu inaweza kuwa substituting Manchester United for Liverpool. Anyway, nawaombea mlichukuwe kuliko Sugar daddy running teams. Na SG amalize career akiwa na medal, uloyal wake uzae matunda.

Dah timu yako hauiombei ichukue kombe?

Mbona mnataka kukata tamaa mapewa wakati mna uwezo wa kushinda ligi
 
"If your not cheering when we're losing, don't cheer us when we're winning." - Bill Shankly
 
Haya kaka kila la heri mwaka huu na nyie mtoke

Mkuu sisi hatuna chetu hapa. Itachukuwa miujiza ya Mtu kubadilika chatu kwa hizo timu tatu kupoteza ponts walizotuzidi. Juzi tulishindwa kumfunga Swansea ndo tutaweza kubeba EPL? Nachoomba ni kubeba FA cup(tuna mtihani mkubwa kumfunga Wigan) afu tujenge timu msimu ujao. Arsenal ajabu sana kila tunapokuwa na chance ya nzuri ya kugombania/kubeba kombe ndo tunakuwa majeruhi mengi kuliko msimu tunaokuwa magarasa tangu mwanzo. Kama vile tuna mamluki ktk treatment team.
 
DonDonald

Mkuu sisi hatuna chetu hapa. Itachukuwa miujiza ya Mtu kubadilika chatu kwa hizo timu tatu kupoteza ponts walizotuzidi. Juzi tulishindwa kumfunga Swansea ndo tutaweza kubeba EPL? Nachoomba ni kubeba FA cup(tuna mtihani mkubwa kumfunga Wigan) afu tujenge timu msimu ujao. Arsenal ajabu sana kila tunapokuwa na chance ya nzuri ya kugombania/kubeba kombe ndo tunakuwa majeruhi mengi kuliko msimu tunaokuwa magarasa tangu mwanzo. Kama vile tuna mamluki ktk treatment team.
 
Back
Top Bottom