Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Na ulisoma vizuri bio ya Gerrard, kuna sehem anasema SAF alishawah kutaka kumsajili lakini Gerrard Akamtolea Nje...

Afu kitu kingne SAF mpinzan wa Liverpool kwa kila Kitu..
 
City mbele wanatisha sana kuliko Chelsea lakini amepewa nusu dozi.
Sasa ngoja tumsubiri huyu mzee wa ku-defend Joyce Maureen. Lazima tumvalishe pete ya uchumba huyu Maureen then tupate msaada wa Everton kumtandika City
 
ngoja sasa tukalete unoko kwenye Uzi wa chelsea
 
kwahiyo yellow ya kwanza kwa suarez ni sahihi? acha kuwa na mahaba ya kishetani wewe!

Kamuulize refa pale Liverpool..sasa atakuwa ameshaoga na yupo tayari kwa kuulizwa na waandishi wa habari...

Mwaka huu referees' decisions zimekuwa upande wenu sana, bisha, ukatae ama ukubali, huo ndio ukweli..
 
Dah..kwa kweli nimeshangaa sana, watu wanaosema Gerrard siyo World class player!!!!!

Seriously????!!!!

Is a top player lakini hajafikia kuwa World Class player...World class player ni Habari nyingine aisee...mnae Suarez basi

Man city....It is Only Vicent,Yaya,Silva and Aguero....waliobakia ni Top class Players
 


Hongera Mkuu naona mwaka huu mhhh inaweza kutokea ila bado nina matumaini Darajani Jose ataweka heshima mjini
 
kwa kweli jamani bora wenger aondoke.maana tushachoka.yaani kutoka kugombania nafasi ya kwanza mpaka tunagombania ya nne.its acceptable kwa kweli.dawa yake kutumiwa jini tu
 
Kamuulize refa pale Liverpool..sasa atakuwa ameshaoga na yupo tayari kwa kuulizwa na waandishi wa habari...

Mwaka huu referees' decisions zimekuwa upande wenu sana, bisha, ukatae ama ukubali, huo ndio ukweli..
Kama ilivyokuwa miaka yote ya mzee Ferguson sasa ni zamu yetu. Labda babu arudi kutoka retirement
 
Is a top player lakini hajafikia kuwa World Class player...World class player ni Habari nyingine aisee...mnae Suarez basi

Man city....It is Only Vicent,Yaya,Silva and Aguero....waliobakia ni Top class Players
Whether tuna top class ama world class players it really doesn't matter. What matter is a win. Period.
Kama unataka world class players basi kaishabikie ANZHI MUCHACHKALA timu ya yule bilionea lodi lofa.
Ukija Anfield na hao world class players wako tunakupa dozi ama nusu dozi na hawahawa wachezaji wetu wa mchangani
 

Mbona MATA aliopt kwenda PSG kwenye usajili wa Last summer, lakin january akaja kwenu Man U??!

Mbona Ozil, aliopt kwenda PSG akaja Arsenal???

Ndo kama sahv huwez kumpeleka mtu kama Oscar, Januzaj, Kroos, Sterling, Coutinho PSG, ikiwa kuna team kama Bayern, Barca, Madrid, Arsenal, Liverpool, Man U au hata Dortmund...

Ile ambayo ungemchukua wewe cabaye ni ndogo zaid kuliko ile ambayo wameitumia PSG, au hela ambayo ulyoitumia wewe kwa MATA, PSG wangetumia hela nying sana kumkonvis kwenda kwao

Young wanapenda league zenye ushindani,

France ni league ambayo Giroud aliongoza kwa magoal, Gervinho alitamba, Joe cole alishine na lile..
 
Is a top player lakini hajafikia kuwa World Class player...World class player ni Habari nyingine aisee...mnae Suarez basi

Man city....It is Only Vicent,Yaya,Silva and Aguero....waliobakia ni Top class Players

kashengo, acha kuongea vitu ambavyo huna uhakika navyo aisee..

Kwahyo kwa mtazamo wako Arsenal hamna world class player pale???
 
Kamuulize refa pale Liverpool..sasa atakuwa ameshaoga na yupo tayari kwa kuulizwa na waandishi wa habari...

Mwaka huu referees' decisions zimekuwa upande wenu sana, bisha, ukatae ama ukubali, huo ndio ukweli..

na wewe kaulize kwann hakutoa second yellow, tena saiv ameshaoga na tumemnunulia ice cream asuuze koo
 
Na ulisoma vizuri bio ya Gerrard, kuna sehem anasema SAF alishawah kutaka kumsajili lakini Gerrard Akamtolea Nje...

Afu kitu kingne SAF mpinzan wa Liverpool kwa kila Kitu..

Mbona hata SAF alisema alitamani sana kumsajili Gerrard mwaka 2004, Gerrard alipoonyesha kama anataka kuondoka..lakini hiyo haimaanishi yeye ni world class...anaweza akawa squad player..

Ebu soma maoni hapa:

http://www.theroar.com.au/2013/10/24/was-fergie-right-about-gerrard-and-lampard/
 

Your point?!?
 
Kipofu kaona Mwezi! Ngoja Man u msimu ujao tunashusha nondo za World Cup wale best Kombe zote tutabeba
 
Your point?!?

my Point ni kwamba young and talented players, wanapenda kucheza kwenye league zenye ushindani mkubwa wakiwa katik umri wao sahihi wa kucheza mpira...

So the fact kwamba mtu kama Ibra kwenda kucheza PSG akiwa kwenye 30's ni kwenda kumalzia mda wake uliobak...

Kishacheza Ajax, Ac milan, Inter Milan, Barcelona...Na kishashinda almost kila kitu ktk ngaz ya Club..so hana cha kupoteza...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…