Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

. Lallana Manchester United walimgongea mlango mara kibao na ndio walikuwa mtu wao wa mwanzo kutaka kusign chunguza utaona LFC wamemuingia Lallana mwishoni na ndio akasema anataka timu inayochezea CL aligoma kwenda Old Traford fan ya uchunguzi wako vizuri.
 



Subiri tu nafasi ya kumi au nane.
 
Nani alikwambia bila suarez liverpool haifanyi vizuri? Alikuwepo fowler, owen, tores na wakaondoka lakini liverpool ilibaki stable.



Mlikuwa na hawa wachezaji wote kipindi hicho mlishinda ligi mara ngapi au mli-qualify for Champions League mara ngapi? Umepata jibu eheeee!
 
skirtel is a right footed,lovren uses both right n left... I stand to be corrected

thanks

do you see anything added by getting Lovren?? mimi naona kama wote wako sawa tu... and i dont think we need a new center half, tunahitaji kuwekeza mamilioni kwenye fullbacks kutokana na formation ya liverpool ambayo fullbacks ni mid-fields as well
 

umenena vema,ila skirtel ni kama yupo peke yake na hana competition ya namba! Jiulize ikitokea skirtel kaumia,nani anacheza namba yake? Kolo Toure?
 
Duh! Kunawatu makatili kweli Duniani humu! Ivi kweli mpaka leo Liver pool inawatu wanaoishabikia?
 
Hivi why lovren kwa 20 na sio debuchy kwa 8?
Lovren anacheza katikati mkuu na Lovren mkali mara hata 5 ya debuchy Na Debuchy ni right back The Boss unamjua Lovren au unamsikia jamaa Yule analala na mtu anaondoa mpira na mtu anajuwa kutuliza mpira na kukokota bila kubahatisha.
 
Mlikuwa na hawa wachezaji wote kipindi hicho mlishinda ligi mara ngapi au mli-qualify for Champions League mara ngapi? Umepata jibu eheeee!
Hao Owen fowler walishinda FA,Uefa cup, Super Cup na Owen alichaguliwa mchezaji bora Europe.
 
Duh! Kunawatu makatili kweli Duniani humu! Ivi kweli mpaka leo Liver pool inawatu wanaoishabikia?
ni Mapenzi sizani Kama timu yako utakuja kutoshabikia ikifikia wakati muafaka, mawazo hayo inaonyesha timu yako hutokuja kushabikia ndio utakuwa wale Plastic mashabiki ambao mpira wameanza kudakia kushabikia miaka ya Juzi tu Asante DTV! Kuna watu wameshabikia timu zao zimeenda miaka 37 bila Kombe lolote na miaka 25 bila kombe lolote itakuwa LFC ambao katikati walibeba baaazi ya makombe so kafanye uchunguzi utaona hizo timu ilioenda miaka karibia 30 bila kombe lolote na bado walikuwa na mashabiki, kwenye mpira mademu tu na watoto wadogo ndio Wenye kubadilisha timu na Wenye fikra Kama za mademu. Kuna Babu mmoja nilimuona kwenye TV alikuwa anasema wakati United inafanya vibaya chini ya Moyes akasema anasikitika vijana wasiku hizi game mbili tatu anaanza kusema haji tena hapa uwanjani kutizama game wakati enzi zangu naiona Man United hashindi hata kombe na Kule Liverpool wanashinda makombe ila sababu tuna mapenzi ya kweli kwenye damu na roho hatukufikiria Kubaki nyumbani au kutotizama game za Manchester United na akamalizia mbona vijana wa Liverpool bado wanapenda timu Yao kwa moyo? Vile ndio vijana wetu hapa wanatakiwa Kuwa sio Game mbili viti vinapungua Kama Emirates hayo sio maneno yangu ni maneno ya mashabiki wa kweli babu mtu mzima mwenye akili zake sio vijana Kelele tu. Tungekuwa hapo katikati hata makombe mengine hatupati still tungekuwa mashabiki wa LFC.
 

Mkuu...afadhali umemuelezea kiustaarabu labda ataelewa.

Kaniudhi mpaka nikashindwa nimuambie nini...thanks God kuniepushia ban.
 
we'll be happy to get your money..pure business as usual eeh?
Mambo vipi mkuu Mosdef?

hahahahahah!

JM atakuwa amefurahi sana, Kutuuzia bwana Bertrand..manake atakuwa alikuwa anawaza atampeleka wapi tena kwa mkopo..Manake Aston Villa nao walikuwa hawamtak tena...

Mara Ghafla tu, LFC haoo, wakajitokezaaaa!!!
 
Mlikuwa na hawa wachezaji wote kipindi hicho mlishinda ligi mara ngapi au mli-qualify for Champions League mara ngapi? Umepata jibu eheeee!

Are you serious or kidding?

Umeanza kushabikia mpira lini? na pia wewe ni shabiki wa timu gani? unajua ni timu gani ina historia kubwa kwenye EPL?

Nenda katafute record za akina fowler, Owen makombe waliyobeba lfc then ndo uje

Usikurupuke kuja kuiongelea LFC wakati umeanza kufatilia mpira 2010
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…