Af mbona anauzwa bei rahisi hivi £2M?. Mipango yake kama ni kulikimbia benchi nadhani huko ndio atasugua zaidi. Hawezi kumuweka N benchi labda utumike U-Spain.
He's 31 now, kiwango kimeshuka mno, sahv anachukuliwa kama Kina lambert au kolo, ni wachezaji wa kuongeza exprience kwenye Squad..
Na LFC walikuwa wanataka kupunguza mzigo wa wages kwa mchezaji ambaye ni kama Surplus kwa team, Reina was on £100,000k per week...nadhan ndo maana Napoli na Ac milan wameshindwa kumrudisha Italy..
Afu wakat anaondoka mara ya kwanza kwenda Napoli on loan, alikuwa kishazinguana na BR tayari, thats Why he wrote a letter ya kuwaaga mashabiki..
Tatizo kubwa la BR ni EGO, na ndo maana anashindwa kuwatreat legend aliowakuta pale LFC vizuri (anamuogopa SG tu)..lakini u can see how he dealt with Carrol, aquillan, doni etc and now Agger and Reina..i mean wachezaji wanajua kwamba team inabadilika muda wowote..lakin itabid udeal na players asa legends katika njia nzuri..u can see how Benitez dealt with calagher when Agger came in..
Hahahah!!!
Nakumbuka kipind kile wakat ndo LFC inamuajiri BR as a manager, Ayre alikuwa kishameet na Luis Van Gaal, coz LFC walitaka wampe LVG cheo cha director of football, juu ya BR, baada ya kuonekana tunahitaji kocha kijana, ndo LVG ikaonekana apewe hicho cheo...aisee BR aligomea kabisa hicho kitu, aligoma kabisa, na ilibaki kidogo tu asije..
EGO, inamsumbua sana BR..