Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Duh! Ballo ni mmoja kama wale wanafunzi wenye akili sana lakini hawataki kuingia darasani, wanapojibu paper wanaonekana kujibu kutoa kichwani zaidi kuliko kwamba walisikia darasani, na akichoka anaweza kuacha paper hajamaliza na muda haujaisha na angeamua angejibu na kuyapata maswali.
Ni mvivu sana jamaa, anawahi kuchoka. Kama akiamua kufanya mazoezi na kutokuwa mvivu, Ballo ni habari nyingine (atleast 64.3% Suarez version).
Msiomtaka Balo hebu niambieni,hamumtaki kwa 7bu hawezi kufunga au kwa tabia zake tu?
Sisi Liverpool FC we are more than happy, to sign Super Ballo.....because he is talented young guy who hate Man utd.
And the below are facts about Super Mario.....
- Mario Balotelli had more shots in the league from outside the area last season (95) than Daniel Sturridge and Wayne Rooney combined (83).
- The only Premier League players to score more goals than Balotelli during that time are Sturridge (30) & Suarez (37).
- Since making his league debut for Milan in 2013, no player has scored more Serie A goals than Mario Balotelli (26).
Balotelli - 28.57
- % Goals scored vs top-7:
Suarez - 19.35
Reus - 31.25
Sanchez - 21.05
Sturridge - 26.09
Remy - 21.43
Sasa hivi nasubiria usajili wa Song kutoka Barca....
YNWA!
Msiomtaka Balo hebu niambieni,hamumtaki kwa 7bu hawezi kufunga au kwa tabia zake tu?
Msiomtaka Balo hebu niambieni,hamumtaki kwa 7bu hawezi kufunga au kwa tabia zake tu?
Selling Suarez to keep the image of the club, then buying Balotelli for the same reason?
Suarez alikuwa risky kama Balotelli. For Balotelli, it may work, it might not.
Lakini kwa £16m siyo mbaya kama LFC watamwuza Borini kwa bei hiyo hiyo.
Unlike Borini, Balotelli is box office. I would like to see him back in the Premiership.
We are talking about Liverpool here, my friend.
We don't just suck in stuff. We sieve out the stinkers. That's what glamorous and established traditions like Liverpool FC always do. Am afraid this move for Ballo is ill advised and defeats our established due diligence norms.
YNWA.
Hivi kukosa goli na kuuma watu Lipi kosa kubwa,Hivi Balotel Tangu ajulikane kafungiwa miezi mingapi kwa makosa yake???? Na Suarez kaufungiwa mingapi???Unajua fans wa Lfc wengi wanaamini kilichomuondoa Suarez ni ma-scandal yake ya kung'ata na ubaguzi wa rangi, So kinachowatatza iweje ushndwe kuvumilia scandal za Suarez ambaye ndo the best lkn uweze kuvumiliakukaako vya Ballo vya kupgwa redkad na kukosa magoli ya wazi kwa kukalazmisha kufunga goli la kibishoo?
watakuwa hawampendi kwa tabia zake
Brand protection.
No brand comes bigger than Liverpool FC.
Unajua fans wa Lfc wengi wanaamini kilichomuondoa Suarez ni ma-scandal yake ya kung'ata na ubaguzi wa rangi, So kinachowatatza iweje ushndwe kuvumilia scandal za Suarez ambaye ndo the best lkn uweze kuvumilia vituko vya Ballo vya kupgwa redkad na kukosa magoli ya wazi kwa kukalazmisha kufunga goli la kibishoo?
We are talking about Liverpool here, my friend.
We don't just suck in stuff. We sieve out the stinkers. That's what glamorous and established traditions like Liverpool FC always do. Am afraid this move for Ballo is ill advised and defeats our established due diligence norms.
YNWA.
Tabia ni Tabia,hata suarez alisajili akiwa na rekodi ya kuuma mchezaji lakini tulisahau na kumwita shujaa, SWALI HILI MBONA AMUWAULIZI BACA KWA kumsajiri Suarez kwa dau kubwasa kati ya tabia na miguu kipi kinacheza mpira hapo?
Hivi kukosa goli na kuuma watu Lipi kosa kubwa,Hivi Balotel Tangu ajulikane kafungiwa miezi mingapi kwa makosa yake???? Na Suarez kaufungiwa mingapi???
Biggerup Tores ,Kuna watu wanajua saizi ya kocha ,Yep we do understand we are Liverpool....and actually I doubt whether there is any body who knows better than BR plus his technical team.They have analyzed the ability of Super Marioa and they came to the conclusion that the guy may fill the void.Hovyo I have to say, i give credit to Liverpool for this signing, it's a risk worth taking with Mario, brilliant player if he decides he wants to be.....we all know it if we're honest.
I think Rodgers can do wonders with Mario in getting him to mature and listening , he needs nurturing.
Liverpool is a humble club with no big time charlies and he'll get the support he needs, and if he plays his cards right Mario could be worshipped on Merseyside.
Can't wait to see what he delivers. Remember, People said signing Daniel Sturridge was a risk, that he was arrogant and a hard personality to manage.....look at him now.
In my opinion, players just need to find the club that gets behind them and a manager who can manage them.
In BR i trust, bcoz he can manage players.
YNWA
Mkuu kama ni hivyo hata move ya Suarez it was ill advised coz we signed him while he was still serving a ban for sucking someone in eredivisie. Let's agree this is a gamble and not an oversight. We also gambled when signing suarez! YNWA....let's hope we can get the most out of him on the field!
Suarez wanted to leave,nobody wanted to sell him!
Yep we do understand we are Liverpool....and actually I doubt whether there is any body who knows better than BR plus his technical team.They have analyzed the ability of Super Marioa and they came to the conclusion that the guy may fill the void.
I have to say, i give credit to Liverpool for this signing, it's a risk worth taking with Mario, brilliant player if he decides he wants to be.....we all know it if we're honest.
I think Rodgers can do wonders with Mario in getting him to mature and listening , he needs nurturing.
Liverpool is a humble club with no big time charlies and he'll get the support he needs, and if he plays his cards right Mario could be worshipped on Merseyside.
Can't wait to see what he delivers. Remember, People said signing Daniel Sturridge was a risk, that he was arrogant and a hard personality to manage.....look at him now.
In my opinion, players just need to find the club that gets behind them and a manager who can manage them.
In BR i trust, bcoz he can manage players.
YNWA