Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chelsea ya sasa hamfungi rejuvinated Newcastle St Andrew Park

Chelsea mwenyewe now ana struggle sana sio kama alivyo anza(Ref mechi zake na Man United na QPR)

Chelsea HANIFUNGI Anfield

Huu ni ubishi tu. Uchezaji wetu kwasasa ni very disgusting. Brendan Rodgers ameprove failure na alikuwa anabebwa na Sturridge na Suarez kwa uwezo wao binafsi. Nimemchukia sana huyu manager. Hana mbinu zozote za mashambulizi. Mechi karibu zote tunashika roho mwanzo, mwisho. Hata QPR bila kujifunga wenyewe ilikuwa tumeondoka.
 
Chelsea ya sasa hamfungi rejuvinated Newcastle St Andrew Park

Chelsea mwenyewe now ana struggle sana sio kama alivyo anza(Ref mechi zake na Man United na QPR)

Chelsea HANIFUNGI Anfield



J4 unapigwa na Madrid ktk UEFA utoke kabisa ktk hayo mashindano...... Alafu Sisi j5 Tunakwenda kupata sare tu na Marbor kwa kikosi chepesi kabisa Alafu tunakuja kwako kukushusha kabisa nafasi yako ya zamani....!
 
J4 unapigwa na Madrid ktk UEFA utoke kabisa ktk hayo mashindano...... Alafu Sisi j5 Tunakwenda kupata sare tu na Marbor kwa kikosi chepesi kabisa Alafu tunakuja kwako kukushusha kabisa nafasi yako ya zamani....!

You dreaming!
CL sitoki na nitavuka kama mshindi wa pili!!Chelsea hanifungi Anfield
 
You dreaming!
CL sitoki na nitavuka kama mshindi wa pili!!Chelsea hanifungi Anfield



Mwenzako Hapo juu amekiri kua ni ubishi lkn hamna lolote na kocha wenu ni boya tu....!

Ktk UEFA umeshinda mechi moja na umefungwa mechi mbili na Uko nafasi ya tatu.... Na j4 unafungwa tena... Yani ndo utazidi kuporomoka na kua nafasi ya 4 ktk kundi lenu.... Huko kifuzu kwa mshindi wa pili utakutoa wapi?

Tarehe 8 nakupiga Vzr kabisa...!
 

Simple math:
Madrid anatufunga wote kwenye kundi hili then mm namchapa Lugo na Basel
 
Simple math:
Madrid anatufunga wote kwenye kundi hili then mm namchapa Lugo na Basel



Wakati huo wewe kesho ukipigwa Basel anashinda... Utamfunga Lugo lkn sio Basel.... Hiyo hesabu yako mpk Hapo Itakua imegonga mwamba....!
 
Wakati huo wewe kesho ukipigwa Basel anashinda... Utamfunga Lugo lkn sio Basel.... Hiyo hesabu yako mpk Hapo Itakua imegonga mwamba....!

Basel Anfield namchapa kiurahisi tu kama navyokuchapa wewe Jmosi
 

We nichokoze tu.....:third:
 
Simple math:
Madrid anatufunga wote kwenye kundi hili then mm namchapa Lugo na Basel
hivi lugo mnacheza nae anfield au ugenini kule alikomkosakosa madrid? teh ngoja tuone, basel anatoa draw na wewe lugo anatoa draw
 
Skysports are saying InterMilan wants both GJ and BORINI..
 
W'd You want Yohan Cabaye at LFC in january????
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAH

#Madness
 

Attachments

  • 1415022094467.jpg
    20.3 KB · Views: 87
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…