Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Chelsea ya sasa hamfungi rejuvinated Newcastle St Andrew Park

Chelsea mwenyewe now ana struggle sana sio kama alivyo anza(Ref mechi zake na Man United na QPR)

Chelsea HANIFUNGI Anfield

Huu ni ubishi tu. Uchezaji wetu kwasasa ni very disgusting. Brendan Rodgers ameprove failure na alikuwa anabebwa na Sturridge na Suarez kwa uwezo wao binafsi. Nimemchukia sana huyu manager. Hana mbinu zozote za mashambulizi. Mechi karibu zote tunashika roho mwanzo, mwisho. Hata QPR bila kujifunga wenyewe ilikuwa tumeondoka.
 
Chelsea ya sasa hamfungi rejuvinated Newcastle St Andrew Park

Chelsea mwenyewe now ana struggle sana sio kama alivyo anza(Ref mechi zake na Man United na QPR)

Chelsea HANIFUNGI Anfield



J4 unapigwa na Madrid ktk UEFA utoke kabisa ktk hayo mashindano...... Alafu Sisi j5 Tunakwenda kupata sare tu na Marbor kwa kikosi chepesi kabisa Alafu tunakuja kwako kukushusha kabisa nafasi yako ya zamani....!
 
J4 unapigwa na Madrid ktk UEFA utoke kabisa ktk hayo mashindano...... Alafu Sisi j5 Tunakwenda kupata sare tu na Marbor kwa kikosi chepesi kabisa Alafu tunakuja kwako kukushusha kabisa nafasi yako ya zamani....!

You dreaming!
CL sitoki na nitavuka kama mshindi wa pili!!Chelsea hanifungi Anfield
 
You dreaming!
CL sitoki na nitavuka kama mshindi wa pili!!Chelsea hanifungi Anfield



Mwenzako Hapo juu amekiri kua ni ubishi lkn hamna lolote na kocha wenu ni boya tu....!

Ktk UEFA umeshinda mechi moja na umefungwa mechi mbili na Uko nafasi ya tatu.... Na j4 unafungwa tena... Yani ndo utazidi kuporomoka na kua nafasi ya 4 ktk kundi lenu.... Huko kifuzu kwa mshindi wa pili utakutoa wapi?

Tarehe 8 nakupiga Vzr kabisa...!
 
Mwenzako Hapo juu amekiri kua ni ubishi lkn hamna lolote na kocha wenu ni boya tu....!

Ktk UEFA umeshinda mechi moja na umefungwa mechi mbili na Uko nafasi ya tatu.... Na j4 unafungwa tena... Yani ndo utazidi kuporomoka na kua nafasi ya 4 ktk kundi lenu.... Huko kifuzu kwa mshindi wa pili utakutoa wapi?

Tarehe 8 nakupiga Vzr kabisa...!

Simple math:
Madrid anatufunga wote kwenye kundi hili then mm namchapa Lugo na Basel
 
Simple math:
Madrid anatufunga wote kwenye kundi hili then mm namchapa Lugo na Basel



Wakati huo wewe kesho ukipigwa Basel anashinda... Utamfunga Lugo lkn sio Basel.... Hiyo hesabu yako mpk Hapo Itakua imegonga mwamba....!
 
Wakati huo wewe kesho ukipigwa Basel anashinda... Utamfunga Lugo lkn sio Basel.... Hiyo hesabu yako mpk Hapo Itakua imegonga mwamba....!

Basel Anfield namchapa kiurahisi tu kama navyokuchapa wewe Jmosi
 
Kumekucha tena.... Tutakua ktk hii thread ya LFC mpk game yetu iishe hiyo tarehe 8......!


Wenye Nyumba mmpo? Ngoja niwaite majembe yangu Viol na Grand PA majembe ya ukweli yanayoshabikia Timu ya ukweli Timu isiyokua na Plesha wa mawaa... Timu inayotupa RAHA kila siku na kila kona...! Chelsea Fc....!

Grand PA Viol yani hii Nyumba Jana tu imekwenda na Maji na j4 pale kwa Madrid itakwenda na Upepo Alafu tarehe 8 itapitiwa na Tetemeko kubwa sn na kuanguka... Khe Khe Khe Khe Khe

Cc: Malafyale Baba Kelvin nguvu osokonoi Okhondima Asprin Gwamahala

We nichokoze tu.....:third:
 
Simple math:
Madrid anatufunga wote kwenye kundi hili then mm namchapa Lugo na Basel
hivi lugo mnacheza nae anfield au ugenini kule alikomkosakosa madrid? teh ngoja tuone, basel anatoa draw na wewe lugo anatoa draw
 
Skysports are saying InterMilan wants both GJ and BORINI..
 
Danny amesafiri na team leo!!
 

Attachments

  • 1415021960388.jpg
    1415021960388.jpg
    39.1 KB · Views: 84
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHHAHAHAHAH

#Madness
 

Attachments

  • 1415022094467.jpg
    1415022094467.jpg
    20.3 KB · Views: 87
Back
Top Bottom