Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Last season tuliambulia point 1 kutoka kwa Arsenal.
  • Kipigo Emirates
  • Draw Anfield

This season tunaambulia tena point 1 kutoka kwa Arsenal.
  • Draw Anfield
  • Kipigo Emirates
Hii ndio wazungu wanaiita konsistensi sasa
 
Bradley ana msiba mtoto wa watu.

timu imecheza vizur juzi tu hapa na yeye kaiona Leo kawaacha wachezaji karibia wanne nje...ntamwelewa kwa szobo ambaye alikuwa anaumwa ila kwa Nunez na Bradley amekosea aisee

Grav's naye bado Hana Ile fluidity ya EPL Bora hata dogo Elliott
 
GRAVENBERCH [emoji16][emoji16][emoji16] Nilishasema na nitaendelea kusimamia nilichowahi kusema, This man has no Mentality for a top team like LFC.

GRAVENBERCH is the worst signing in recent years .
Jamaa yupo Slow sana
Lakini huwezi kumlaumu,bado ana muda.
Ndio kwanza hajamaliza hata msimu mmoja tangu aje.
 
Umeongea vizuri sana
Ila hujamgusa Allison mwanzo mwisho.
 
F.c Lia Lia

[emoji599] Klopp: “A lot of things went against us”.

“This referee gave me red card against City for wrestling situation - Bernardo & Salah”.

“Today same with Jota that didn’t get a red card. Unbelievable”.

“Holding by Havertz on Konate… Gabriel did same with Nunez, no yellow card”.
 
Kuna watu humu juzi juzi tu walisema eti siyo wa muhimu sana,hata asipokuwepo timu inacheza vizuri.

Na nakumbuka niliwajibu vizuri tu kuwa Salah hana mechi kubwa kwake zote ni ndogo sio kama hawa wengine ndani ya dakika 90 wanapiga only one on target na goli lenyewe wamefungiwa na Arsenal.

Last game dhidi ya Arsenal kila mmoja aliona alichokifanya Salah.

Sasa Saint Anne tuwasubiri hapa waje wamwage sifa za game ya jana kuwa Liverpool imecheza vizuri bila ya Salah si walihadaiwa na game za Carabao na FA.
 
This season Arsenal will never finish the League above Liverpool FC regardless the outcomes if we'll conquer the trophy/EPL or not.
Mkuu hawajamaa bado washamba aisee. Yaani kutufunga leo sisi ndio wanaona watachukua ligi,😀. Wanashindwa kukumbuka mpaka sasa wamefungwa mechi ngapi? (Hawanasifa ya kuwa bingwa-wapo,kwenye hiyo nafasi ratiba imewabeba tu) Na wana mechi bado pale etihad.
Naona pia hata kupata ushindi kwa wenzetu ni taabu sana ndio maana wakipta ushindi tu wanaweuka.
 
Mkuu hii game ilikuwa tricky sana kwetu Arsenal acha tufurahi.

Mngetufunga gape lingekuwa points 8. Na City bado angetuacha zaidi.So ushindi ulikuwa muhimu zaidi kuzingatia hilo.

Mengine ya kawaida tu kwa timu bora zikukutana.

Pia Bingwa ni City msimu huu kila mtu anajua hilo.
 
Mimi niliona tulivyowafunga zile 2 bila ,hii mechi nilijua lazima mtabadilika sana tu,na tupo ugenini .
Mkuu city bingwa kabla ligi haijaanza .
 

Hii kauli ya kuwa Bingwa ni Man City ni kauli ya loser tu ambao wao wanajiona hawana uwezo wa kupambana hivyo wanakimbilia kwa City.

Ligi haijawa closed race kiasi ya kwamba Man City anakimbia one horse race.

Ligi ipo Open hata Liverpool anaweza kubeba Ubingwa.

Tena ukiangalia kwa makini hii second round vile visiki vyote Man City, Chelsea, Spurs, Brighton, Newcastle ratiba imewataka waje Anfield.

Strong game ambayo Liverpool anayo Away ni Manure pekee baada ya hii ya Arsenal.

Hivyo namalizia kusema Ubingwa bado upo Open.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…