Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna watu humu juzi juzi tu walisema eti siyo wa muhimu sana,hata asipokuwepo timu inacheza vizuri.
Unasema? 😂😂😂
20240205_072323.jpg
 
Bradley ana msiba mtoto wa watu.

timu imecheza vizur juzi tu hapa na yeye kaiona Leo kawaacha wachezaji karibia wanne nje...ntamwelewa kwa szobo ambaye alikuwa anaumwa ila kwa Nunez na Bradley amekosea aisee

Grav's naye bado Hana Ile fluidity ya EPL Bora hata dogo Elliott
 
GRAVENBERCH [emoji16][emoji16][emoji16] Nilishasema na nitaendelea kusimamia nilichowahi kusema, This man has no Mentality for a top team like LFC.

GRAVENBERCH is the worst signing in recent years .
Jamaa yupo Slow sana
Lakini huwezi kumlaumu,bado ana muda.
Ndio kwanza hajamaliza hata msimu mmoja tangu aje.
 
It could have been more, Arsenal walikosa ukatili mwingi.


Hii mechi huwezi kujua uanzie wapi na uishie wapi, ila ni siku mbaya sana ofisini.

Bado narudi pale pale, kosa analofanya Klopp ni kulazimisha wengine wafanye kazi mara mbili mbili ili tu Trent asiwe kwenye mitego ya kusumbuliwa.

Inabidi Konate afanye kazi mara mbili, na yeyote atatakaye kaa upande wa Taa afanye kazi mara mbili. Ime tugharimu leo Konate kadi nyekundi. Trent amepikwa sana na Martinelli not only him imekuwa hivyo misimu yote tu.

Trent ni moja ya wachezaji wameumia mno kuondoka kwa Klopp, makosa yale na kwa top top manager unasugua bench tu tumeona hivyo kwa kina Conte, Tuchel, Pep, Mou ila kwa Klopp anatafuta namna Trent acheze hata kwa kuwaumiza wengine. Na bad thing amekataa ku improve defensively kwa itategemea na kocha ajaye.

Ngumu kuona madhara ya Trent lkn yeyote atakaye cheza no. 4 au RCM lazima afanye kazi mara mbili. Sasa leo imekuwa balaa zaidi kwa kuanza Graven , da da da.

We were poor overall my best player on the pitch today was Macca.

N.B Nunez anakosa magoli sana lakini huwezi kumuondoa kwenye wachezaji hatari pale LFC, Saliba and Gabriel wali relax vya kutosha leo mpaka alipoingia Nunez timu ikaanza kupata njia, ila hivyo ukiwa na siku mbya ni mbya tu.
Magoli tuliyofungwa dah.!!! Ni aibu
Umeongea vizuri sana
Ila hujamgusa Allison mwanzo mwisho.
 
F.c Lia Lia

[emoji599] Klopp: “A lot of things went against us”.

“This referee gave me red card against City for wrestling situation - Bernardo & Salah”.

“Today same with Jota that didn’t get a red card. Unbelievable”.

“Holding by Havertz on Konate… Gabriel did same with Nunez, no yellow card”.
 
Kuna watu humu juzi juzi tu walisema eti siyo wa muhimu sana,hata asipokuwepo timu inacheza vizuri.

Na nakumbuka niliwajibu vizuri tu kuwa Salah hana mechi kubwa kwake zote ni ndogo sio kama hawa wengine ndani ya dakika 90 wanapiga only one on target na goli lenyewe wamefungiwa na Arsenal.

Last game dhidi ya Arsenal kila mmoja aliona alichokifanya Salah.

Sasa Saint Anne tuwasubiri hapa waje wamwage sifa za game ya jana kuwa Liverpool imecheza vizuri bila ya Salah si walihadaiwa na game za Carabao na FA.
 
This season Arsenal will never finish the League above Liverpool FC regardless the outcomes if we'll conquer the trophy/EPL or not.
Mkuu hawajamaa bado washamba aisee. Yaani kutufunga leo sisi ndio wanaona watachukua ligi,😀. Wanashindwa kukumbuka mpaka sasa wamefungwa mechi ngapi? (Hawanasifa ya kuwa bingwa-wapo,kwenye hiyo nafasi ratiba imewabeba tu) Na wana mechi bado pale etihad.
Naona pia hata kupata ushindi kwa wenzetu ni taabu sana ndio maana wakipta ushindi tu wanaweuka.
 
Mkuu hawajamaa bado washamba aisee. Yaani kutufunga leo sisi ndio wanaona watachukua ligi,[emoji3]. Wanashindwa kukumbuka mpaka sasa wamefungwa mechi ngapi? (Hawanasifa ya kuwa bingwa-wapo,kwenye hiyo nafasi ratiba imewabeba tu) Na wana mechi bado pale etihad.
Naona pia hata kupata ushindi kwa wenzetu ni taabu sana ndio maana wakipta ushindi tu wanaweuka.
Mkuu hii game ilikuwa tricky sana kwetu Arsenal acha tufurahi.

Mngetufunga gape lingekuwa points 8. Na City bado angetuacha zaidi.So ushindi ulikuwa muhimu zaidi kuzingatia hilo.

Mengine ya kawaida tu kwa timu bora zikukutana.

Pia Bingwa ni City msimu huu kila mtu anajua hilo.
 
Mkuu hii game ilikuwa tricky sana kwetu Arsenal acha tufurahi.

Mngetufunga gape lingekuwa points 8. Na City bado angetuacha zaidi.So ushindi ulikuwa muhimu zaidi kuzingatia hilo.

Mengine ya kawaida tu kwa timu bora zikukutana.

Pia Bingwa ni City msimu huu kila mtu anajua hilo.
Mimi niliona tulivyowafunga zile 2 bila ,hii mechi nilijua lazima mtabadilika sana tu,na tupo ugenini .
Mkuu city bingwa kabla ligi haijaanza .
 
Mkuu hii game ilikuwa tricky sana kwetu Arsenal acha tufurahi.

Mngetufunga gape lingekuwa points 8. Na City bado angetuacha zaidi.So ushindi ulikuwa muhimu zaidi kuzingatia hilo.

Mengine ya kawaida tu kwa timu bora zikukutana.

Pia Bingwa ni City msimu huu kila mtu anajua hilo.

Hii kauli ya kuwa Bingwa ni Man City ni kauli ya loser tu ambao wao wanajiona hawana uwezo wa kupambana hivyo wanakimbilia kwa City.

Ligi haijawa closed race kiasi ya kwamba Man City anakimbia one horse race.

Ligi ipo Open hata Liverpool anaweza kubeba Ubingwa.

Tena ukiangalia kwa makini hii second round vile visiki vyote Man City, Chelsea, Spurs, Brighton, Newcastle ratiba imewataka waje Anfield.

Strong game ambayo Liverpool anayo Away ni Manure pekee baada ya hii ya Arsenal.

Hivyo namalizia kusema Ubingwa bado upo Open.
 
Back
Top Bottom